Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,752
- 218,339
Nyomi ya kufa ntuHii ndiyo Taarifa mpya kutoka Tabora , Kwamba Mwamba Mbowe akiwa katika harakati za Operesheni Haki huko Kanda ya Magharibi , amevamiwa na Kundi la Mama Lishe huku wakimtaka kupiga nao picha ya ukumbusho ndiyo aendelee na Operesheni zake , ambapo Mwamba alisalimu amri na kupiga picha na wamama hao , huku kibwagizo cha #Mwamba Tuvushe kikitamba .
View attachment 1810573
Kafunga mtaa hapoMbowe aka mzee wa anga. Namkubali sana Huyu jamaa
Mbowe ni ICON wa siasa za mageuzi Tanzania nzima, hakuna asietambua hilo.
πππHapo inaonekana yeye ndio kavamia hao wamama.