Table manners

BWANA WEE KUNA WATU WANA MAJIBU SANA MEZANI..UTASIKIA "MICHUMVI CHUMVI TUU".WAKATI KUJUA KUPIKA NI KWIKWI,HATA BAKULI KUOSHA TABU.NAKUMBUKA TULIMKARIBISHA MGENI ,ALIKICHAMBUA CHAKULA MPAKA TUKAJUTA.EDIT CHAKULA UKIWA UNAJUA NA SI UKOSEWE UKIWA UPO MEZANI,FANYA HIVI SIKU YA PILI KAMA NI MKE AU MUME NENDA JIKONI NA UONESHE USTADI WAKO.KAMA UNA MKE AU MUME MWELEWA ATAKUKUBALI SANA.KWA AFRIKA NI BAADHI TU WANAWEZA HAYO.
 
Ninaelewa na kama mnataka nilete za Kijapan nitazileta, nilidhani hizi ni ziko more genera as we are part of the Common Wealth.
 
vizuri
na ni vyema wamama wakawafunza watoto wao haya mambo mapema sana
Ni kweli hata kuwapeleka hotelini mara moja moja, usingoje msichana anafika University ndiyo anaumbuka kwenye first date.
 
Asante mkuu tumekupata.
 
Ehh mambo ya kizungu on fleek...tunashukuru mana mashikoro mageniii
 
Kweli kabisa mkuu mezani tunakula kilichopo kwa amani...jikoni tunafundishana kwa uvumilivu.
 
Teh Teh huu ni utani karibu na kweli aisee
Shost aliniambia date alipelekwa dinner sehemu, akashika bakuli la supu na kuanza kuria, akamuona jamaa anaangaza macho, salad ilikuja letuce, nyanya na vipande vya mayai ya kuchemsha, mdada alikamata kwa mkono. Baada ya hapo kila akipiga simu jamaa hapokei.😀😀
 
He he he sasa afanyaje mwee. Ila jamaa naye, hivyo si vitu vya kufundishana tu. Ni bora mtu aagize chakula ambacho amekizoea na hakina mbwembwe kuliwa
 
Reactions: kui
mkono wa kukamatia umma na kisu unategemeana na imani ya mtu..unaweza kushika umma kwa mkono wa kulia kwa sababu imani nyengine kula kwa mkono wa kushoto ni taboo
 
upo sahihi uzungu tuwaachie wenyewe..watu wanashindwa kuelewa tu hata vyakula vyetu vya kiafrika sio rafiki kwa kuliwa kwa umma na kisu
 
Jifunze kusummarize ...rihabari rilefu kama nini.wala siwezi poteza muda wangu kusoma
 
duh we ni kabila gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…