Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,447
- 21,160
Kwa kweli kuaga ni kipaji,Hii ya kutokuaga si ya kwako tu, hata mimi ninayo sana hii tabia, tena mimi hata text situmi ni nasepa tu mazima naendelea na mapambano ya kimaisha
Niko poa sana ndugu, natumai uko poa piaKwa kweli kuaga ni kipaji,
Nasemwa sana nibadilike ndio nikijitahidi natuma text.
Uko poa lakini?
Ahhahaha wengine watafatwa hata kama umelala utaamshwa yaan majiran wanafatwa mtoto wangu amekuja ππππAah ukimtembelea Bi mkubwa we jiandae kwa hilo yaan unakuta mtu humjui ila anapewa full CV yako, ukilalamika anakwambia c best yanguπ. Achilia mbali kuambiwa twende tukasali kanisani kwetu...kumbe shida sio kusali bali zoezi lake la utambulisho baada ya misa lifanyike. Lazima utaomba poohπ©
Waambie upo bize una kazi.....Sipendi tabia ya washkaji kuja gheto bila taarifa...nachukia sana!!
Hii ya kutokuaga si ya kwako tu, hata mimi ninayo sana hii tabia, tena mimi hata text situmi ni nasepa tu mazima naendelea na mapambano ya kimaisha
Kuaga marafiki au hata mpenzi humuagi?Kwa kweli kuaga ni kipaji,
Nasemwa sana nibadilike ndio nikijitahidi natuma text.
Uko poa lakini?
YAAANI inaboa..mtu umekaa zako unachokonoa meno..Video call inangia..
Rafiki angu Tangia apate kazi nikipiga nae story utasikia tutafute maisha bro..Yani ananiona jobless mimi kama looser hivi .
Nikimpiga picha mimi inatoka vibaya no pose no smiles lkn instagram Ana picha nzuri anatabasamu na mapozi haswa... Nafuatilia mpiga picha.
Nachukia wanaopenda kuongelea maendeleo yao yaan anajua kabisa bado unapambana ila sasa ukikaa nae mara oh unajua gari yangu juz alizingua mara sijui nyumba angu ya kimara INA ufa nimesahau kumpigia fundi mara oh duka langu Leo sijafungua kijana kaniibia
Yaan wana misifa marafiki wa hivi akienda chooni akatoka utasikia dah best nilijisahau nikaanza kutafuta nibonye wapi niflash kumbe sipo kwangu
nmechunguza nimegundua anaendaga kuliwa
Yeyote isipokuwa mwandani wangu tuKuaga marafiki au hata mpenzi humuagi?
Binafsi namaanisha familia kwa ujumla.Kuaga marafiki au hata mpenzi humuagi?
Hiyo ya mwisho ndiyo hofu yako...Sipendi kelele iwe kutoka kwa Mama/ndugu
Sipendi kuambiwa nini cha Kufanya Katika maisha yangu
Sipendi tabia ya Dada angu fulani akikufanyia kitu mpaka atangaze..yani ana ile bila mimi kitu fulani kisingefanyika..bila Mimi fulani asingekuwa hivi.π
Sipendi tabia ya marafiki wanaoniongelea vibaya iwe kwa mpenzi au watu wa karibu
Sipendi tabia za marafiki wanaojifanya wanamjua sana mwanaume wangu na kujichekesha chekesha ovyo..mfyuuuuu
ππππ Akii..nimecheka Sana.
Mdogo wangu kunikopa hela halafu harudishi. Na cha ajabu akiniomba tena huku bado namdai basi ataniahidi ahadi zake hewa zenye ushawishi ambapo huwa nashindwa kabisa kumyima aisee.