Tabia zake utata mtupu

Niendelee naye?

  • Ndiyo

    Votes: 2 28.6%
  • Hapana

    Votes: 5 71.4%

  • Total voters
    7

Umepaniki mkuu imekutokea nin?
 
That bastard is lying thru his teeth...akili ku mkichwa mama kama wangoja hadi umkamate red handed basi endelea kusubiri
 
Sioni sababu ya kuomba ushauri ilihali maumivu unayoyapata ndo kipimo chako kuamua
 

Ukiona mtu hakujali, basi hakuitaji. pole bi dada.
Anakuona unalazimisha penzi, na unamsumbua.
Kama angekua anakupenda au anakuitaji angekufuata.
wewe unamuhitaji ila yeye hakuitaji.
wewe unamtaka, ila yeye hakutaki. Samahani kwa maneno yangu, ila sasa vizuri unajua ukweli. funguka.

Wanawake wengine nyie munapenda kujitaftia matatizo sana.
Waswahili walisema dalili ya mvua ni mawingu.
Hachana nae, kuwa biz na masomo, sikiliza mziki, danse, tumia muda kufanya vitu muhim, hata kazi za kujitolea zipo, utamsau tu.
Atakae kupenda kweli na kukuitaji maishani mwake atajitokeza mwaka wowote ule na utaenjoy life, hadi utajuliza kwanini hakutokea mapema. Mvumilivu ula mbivu. kama ungekua na miaka 40 sawa, lakini ndio kwanza 26 tu? una muda mwingi ndugu yangu. husiwe na haraka haraka ya kupata mpenzi au mume, wengine mabomu
 
Kusoma hujui na picha pia ujui kutazama!!!!!!!!!! Hilo si fungu lako bi dada toka fasta kabla ujatoka na mengine pia
 

ooh ahsante... i got your point n hujatumia maneno makali but huwa nashangaa mwanaume anavyoomba msamaha na kuonyesha anajutia kosa, sababu mimi i dumped him twice but still ana`come asking for forgiveness, na mimi simsaidii kitu chochote kusema aje aniombe msamaha ol these time na kutaka kuganga yajayo, na kama ku`do tulishaachaga 4 months now` nilivyojua ni muongo, hata nikilala kwake nikikataa we wont do it...and he will respect that, well nimeelewa your concern, thank you! :smile-big:
 
Kusoma hujui na picha pia ujui kutazama!!!!!!!!!! Hilo si fungu lako bi dada toka fasta kabla ujatoka na mengine pia
yah ni kweli unayosema, na wala simng`ang`anii ila kwa nini mtu aombe msamaha mda wote huo, sababu mimi siku expect aje arudi kwangu after mimi kujua alinidanganya and i choose to keep a distance, na kama shida yake ni mdegedo, tulishaachaga mda miez 4 sasa as tunaongea na kujaribu solve mambo.. but mh labda ndiyi binadamu tunaweza igiza bila sababu na faida yoyote.
thnks kwa kukoment
 
mbona sielewi?umemsamehe mara hutaki kurudiana nae ah! all in all unadanganywa mama.

Yeye mwenyewe keshatuambia jamaa yake tabia utata mtupu. Unataka ushauri gani mpendwa hujaona tuuu unafanywa falaa
 
nimeelewa dalalitz...tnks
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…