Tabia za watu zinazonikera

Tabia za watu zinazonikera

Ama tummwagie tindikali.
mkuu adhabu inategemea na ur source of origin, kama ni chuga moko basi ukiudhika unaandamana , kama ni urojo type basi unatumia tindi kali, lakini kwa jamaa nashauri tutumie tindi pole..
 
Khaa... kuweka sread ambayo nilikuwapo muda mreu uliopita inakera

kwakweli ni mreu mpaka umesahau kama ni mrefu, hiyo mreu kwa hesabu zangu itakua ni karne mbili hivi, ila kwa hii sredi kero yako itakua namba 10, afu bro nina swali la kizushi kwako kama gold membership wanalipa 30, tanzante kilo, silver ni ngapi na bronze je, mi nahisi itakua umelipia buku 6 au 7 zile za lumumba..
 
1.Kukojoa halafu ukimaliza unamsalimia mtu kwa mkono.

2. Kuingiza kidole puani halafu unampa mtu mkono.

3. Kutoa makohozi wakati wa kula.

4. Kusimulia movie wakati wenzako wanaitazama mara ya kwanza.

5. kubeep beep kila mara.

6. Kudanganya kwenye simu, niko hapo nakuja kumbe ndio unatoka home.

7. Kukaa siti ya nyuma na kuanza kuweka mikono mbele kwa mtu aliyekaa siti ya mbele.

8. Kuuliza uliza nyakati kila mara, " sasa hivi ni saa ngapi??, sasa hivi ni saa ngapi?? bado dakika ngapi?? "

9. Kutembelea wenzako nyakati za msosi. Ikifika saa sita tu tayari ushafika, halafu stori nyingi, huondoki tu tule.

10. Kukojoa bara barani.

asilimia kubwa ya wabongo tuna hizi tabia zinakera

Third world yote ndio iko hivyo mkuu. Pole sana
 
Hapo kwenye redi ujue ni familia moja;
Umeamua tu kusema
lakini sijui kama ni kweli.

1. Mademu wanaopenda kupiga mikuki (Kuomba omba hovyo) ref. Mamndenyi.

2. Kukuna map.mbu yako kisha kunipa mkono wako. ref. Bishanga

3. Kujifanya kila kitu unajua. Kila stori unachangia ref. Lady doctor

4. Kukopa halafu kulipa unazingua. ref. chama.

5. Invisible kunipa BAN kisa nilikataa kumkopesha.

6.

7.

8.

n.k
 
1. Mademu wanaopenda kupiga mikuki (Kuomba omba hovyo) ref. Mamndenyi.

2. Kukuna map.mbu yako kisha kunipa mkono wako. ref. Bishanga

3. Kujifanya kila kitu unajua. Kila stori unachangia ref. Lady doctor

4. Kukopa halafu kulipa unazingua. ref. chama.

5. Invisible kunipa BAN kisa nilikataa kumkopesha.

6.

7.

8.

n.k

hama nchi sasa! Halafu we Mzee nikikukamata umeisha!
 
Last edited by a moderator:
chama.
Au unataka niweke clips za mazingumzo yetu!!!
Mzee inabidi ufanye jitihada uwaone madaktari Lutindi au Mirembe inaonekana kuna hatari sana mbele yako; yaani Chama akukope wewe?? Hiki ni kituko nachelea nisije kufuru bure!!
 
Last edited by a moderator:
Hapo kwenye redi ujue ni familia moja;
Umeamua tu kusema
lakini sijui kama ni kweli.
Mamndenyi
Huyu jamaa Mzee naona inabidi tumsaidie awaone madaktari bingwa Mirembe au Lutindi inaonekana wazi kuna kitu si shwari kwenye kichwa chake!
 
Last edited by a moderator:
sipendi kupiga story binafsi kwenye daladala,iwe kwenye simu ama mwenzangu..ni bora kuzungumza mda za kufundishana na siasa ndani ya daladala watu wengine ,..sijui vipi story mnzopiga kazini au mazungumzo na deal zenu unazileta kwa public tena ya daladala
 
ila hata kujipa vyeo vyakijnga fb n upumbav m2 ansema anasoma ifm wakat unajua fika kwamba yuko form 2 cjui anamaana gan
:yell:
 
Aisee mimi kama bin Adam hzi tabia kwa kweli zinanikera sana...

1. Kuchungulia mtu anaoga bafuni

2. Kusoma SMS inayoandikwa na mtu asiyekuhusu wala hamjuani

3. Kujitapa kwa vitu usivyokuwa navyo kama vile kujidai umesoma au unamiliki gari wakati siyo

4. Mtu kukataa asili yake au kukana ndugu zake

5. Wapenzi wanaosimulia kwa wengine jinsi walivyofanya ngono na wenzi wao usiku uliopita

6. Mgeni kuwasha TV au kufungua friji bila ya kuruhusiwa na mwenyeji wake

7. Watu wanaoongea mambo yao binafsi ya mahusiano kwenye usafiri wa Umma

8. Watu wanopenda kuvaliana nguo za ndani au kuazimana nguo na viatu

9. Wenzi wanaopiga mayowe wakati wa ku..do ilhali wanajua wanaishi kwenye nyumba isiyo na dari

10, Watu wanaoporomosha matusi hadharani bila ya kujali hadhira iliyopo mchanganyiko wake ukoje.

Kama na wewe una tabia kama hizi tafadhali sana USINIKWAZE!!

kujigamba oh wew unahela..oh wew noumah wakat maisha yenyew unaunga unga wa2 2nakuchora 2...inakera sana
 
Unashangaa nguo za ndani,
wakati kondom zinaingia kuna mkoa mmoja hapa tz
ilikuwa mtu akishanunua akaitumia anaifua na kuianika
then hata jirani anaweza kuja kuiazima na kwenda kuitumia
baada ya kutumia anaiosha na kuirudisha na mzunguko unaendelea
kama kawaida.

duuuuuh!!?
 
Kushabikia Chama la Wezi, wabwia-unga, mafisadi, majangili bila haya Wala soni..
 
Kuacha chupi/boxer/------ nje.hua nataman nimkate m2 vibao ila jamhur hairuhus kujichukulia sheria mkononi!
 
kutokupenda kupanga foleni wakati wa kusubiri huduma.
kutematema mate ovyo
kumzunguka muuza magazeti kusoma vichwa vya habari (siku hizi yanapigwa pini)
 
11.kuwakosoa wenzao bila kujirekebisha mapungufu yao.
Nalog off
 
Back
Top Bottom