Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,970
- 10,462
Wasambaa ni wachapa kazi sana. Mwache aende bintiyo!Ndugu zangu, binti yangu kaleta mchumba wa Kisambaa (Though not official yet). Binafsi sijawahi kufikiri binti yangu angeniletea wanaume wacheza ngoma na wavaa misuli (I'm not trying to offend anybody).
Wana JF hebu nisaidieni tabia za wanaume wa Kisambaa (Lushoto).
Je nimpe green light mwanangu?