Nimecheka sana! Eti wacheza ngoma na wavaa msuli!..lol.. Nimesikia watu wengi wanasema wanaume wa kisambaa ni wakarimu ila hawajui kutunza wake zao. Ni mmoja kwa mia ndo anatunza mke.[Nakubaliana na wewe kabisaa..! Mimi nina rafiki yangu ambaye ni msambaa, kwa kweli kesi ninazopokea toka kwake ingekuwa zinashikika sasahivi ningekuwa nimejaza magunia. Tatizo jamaa anapiga sana mke wake, yaani hana mpango kabisa. Ila kitu ambacho nimegundua ni kwamba majority ya wasambaa huwa ni washamba na nahisi hicho ndicho kitu kinachomfanya mzee mwenzetu aumize kichwa kuhusu binti yake.]
Si kweli!!! ni wachache mno wenye tabia izo, na hao unaosema washamba labda ni wale wakijijini kabisa ambao hata shule wala kutembea sehemu nyingi hawajawahi.