arabianfalcon
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 2,285
- 584
Mzee, ss haya mambo ya Ukabila yanatokea wapi? mbona unafanya ongea mambo kama sio mtu mzima? wanasema mtu mzima dawa sasa mtu mzima wewe sijui umegeuka sumu? haya chamsingi huyu kijana kama wanapendana sidhani kabila ni tatizo hata kidogo, USIDHARAU kabila la mwengine hata kidogo kwa sababu na wewe pia kuna vitu kabila lako wanafanya makabila mengine wanaona kituko,ww ni mtu mzima na mtu mzima anaongea kwa Busara hekma na anafikiri kabla hajaongea.........