FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 40,814
- 46,937
- Thread starter
- #61
Hao mara nyingi utakuta na madereva wa TTCL na Tanesco....; hahahaha...Vipi dereva anyeendesha hilux double cabin
Hao mara nyingi utakuta na madereva wa TTCL na Tanesco....; hahahaha...Vipi dereva anyeendesha hilux double cabin
Hapana, Hilux ni gari isiyochuja, ni gari ya kazi, ni multipurpose. Wanaondesha hayo magari mara nyingi ni wahandisi kwa kuwa wanabebeba vitu vyao na wanakuwa na timu yao ya kazi. Ni gari ya kazi na mara nyingi inatumiwa na watu wa kazi. NIMEKUSAIDIA TUHao mara nyingi utakuta na madereva wa TTCL na Tanesco....; hahahaha...
nadhani ingependezajeeungeweka na trekta,land lover defenders, Nissan nyeupe nk
Kwani wahandisi wa TTCL na Tanesco sio wahandisi, au kazi za Tanesco na TTCL sio kazi?Hapana, Hilux ni gari isiyochuja, ni gari ya kazi, ni multipurpose. Wanaondesha hayo magari mara nyingi ni wahandisi kwa kuwa wanabebeba vitu vyao na wanakuwa na timu yao ya kazi. Ni gari ya kazi na mara nyingi inatumiwa na watu wa kazi. NIMEKUSAIDIA TU
Naunga hoja kwa miguu na mikonoToyota VITS & IST vipigwe ban mjini. Too many toys in town!! ha ha ha
Kumbe zote engine kubwa, aahhhh...🙁😡😕😎😱😳😵Kwenye Brevis hapo toa weka Crown Athlete hio ndo powerful na sporty Brevis zito sana
Nissan Nyeupe zipo nyingi mkuu, gari ndogo, hardbody na station wagons.nadhani ingependezajee
Ulicheka post yako mwenyewe ndo maana nikakusaidiaKwani wahandisi wa TTCL na Tanesco sio wahandisi, au kazi za Tanesco na TTCL sio kazi?
Wahandisi hawapo kwenye hayo mashirika pekeeKwani wahandisi wa TTCL na Tanesco sio wahandisi, au kazi za Tanesco na TTCL sio kazi?
Anayo mke wa Davis MoshaLamborghini bongo haijatua bila shaka
tatizo [emoji384] [emoji385] [emoji385] [emoji386] [emoji387] . mtoto wa bakhresa anayo mbonahaya ma General Motor mazuri tatizo Spare zake ni hatari tupu...hayo wanayaweza wenyewe waMarekani.
for sure mkuuHapana, Hilux ni gari isiyochuja, ni gari ya kazi, ni multipurpose. Wanaondesha hayo magari mara nyingi ni wahandisi kwa kuwa wanabebeba vitu vyao na wanakuwa na timu yao ya kazi. Ni gari ya kazi na mara nyingi inatumiwa na watu wa kazi. NIMEKUSAIDIA TU
kweli ela anazo huyotatizo [emoji384] [emoji385] [emoji385] [emoji386] [emoji387] . mtoto wa bakhresa anayo mbona
Ingia tu aisee..
gari za zamani hizo.very outdatedHeshima inapatikana kupitia Brevis, Mark X, Crown au Progress!!..
Naunga mguu hoja aisee..Heshima inapatikana kupitia Brevis, Mark X, Crown au Progress!!..