Uko sahihi kaka one!Ukija ugenin usukuman hawakuulzi kama umekula. Wataanza hekaheka za kupika.
Utashangaa tu unakaribshwa chakula tiari.
Kama ni mchana utatengewa viaz ukute unasafisha koo.
Na baadae unaletwa ugari sasa ule ushibe.
Ukimalza kula unaletewa wali kuku ushushie.
napendaga kwenda kusalim kwa ndugu mweny ng'ombe kila mlo na maziwaUko sahihi kaka one!
Ni raha sana! Kwakweli kuwa msukuma kuna raha yake! Watatutoa mno kasoro ila tumejaliwa upendo!napendaga kwenda kusalim kwa ndugu mweny ng'ombe kila mlo na maziwa
sana na huwa napenda pale msukuma anapo mpokea mgeni kwake asiye na makaz na kuishi nae kama ndugu yake miaka nenda rudi mpaka atapewa na mashamba ya kulima apate mtaji.Ni raha sana! Kwakweli kuwa msukuma kuna raha yake! Watatutoa mno kasoro ila tumejaliwa upendo!
Yani ni kawaida kabisa na hatunaga uoafi na mashamba kabisa! Ukija unapewa kipande!sana na huwa napenda pale msukuma anapo mpokea mgeni kwake asiye na makaz na kuishi nae kama ndugu yake miaka nenda rudi mpaka atapewa na mashamba ya kulima apate mtaji.
Ni upendo wa kweli