Haya ni maneno ya Wanaume suruali mifuko haisomi namba, Mwanamke wake Urembo na Biblia yangu inaniambia hivyo maana ni pambo shurti liwake wake kumvutia mtazamaji, upo hapo babu....?[emoji2][emoji2]kuwa mrembo bila nywele fake inawezekana lifanyie kaz hilo
Haya ni maneno ya Wanaume suruali mifuko haisomi namba, Mwanamke wake Urembo na Biblia yangu inaniambia hivyo maana ni pambo shurti liwake wake kumvutia mtazamaji, upo hapo babu....?
Haya muda wa kazi huu katafute hela upate ya kumpa Mkeo hata ya kusuka yeboyebo na kupaka rangi kucha.
unachefua sasa wenzio....wasikwambie, eboo!!!Makeup nipake mie kwenye USO wangu kwa gharama zangu wewe inakuhusu nini??
nimechoka kufunga rembaa!!
Cha ajabu wanaume wanawakimbilia sana wanawake wa kujikwatua! Hapa mnajifanya mnawapondea....
Makeup nipake mie kwenye USO wangu kwa gharama zangu wewe inakuhusu nini??
ngoja nitoe weaving langu nibaki kipara!
Mtuwacheeeee
Pale anaposahau alipoiweka simu yake
Mwanamke anayetembea na toothpick mdomoni hata salamu simpi.
Mwanamke aliyesukia weaving linamuwasha kwa uchafu badala ya kulitoa anajipiga-piga kichwa kujikuna kila baada ya dakika 2.
Mwanamke wa aina hii akinisemesha simjibu kitu mpaka akatoe hizo nywele za maiti.
Wangu nilimkataza kujikream, kucha ndefu , mikope bandia ,Ila Nywele kila wiki asuke maana Napenda mwanamke mwenye kusuka kila msuko nalipa hela maana b4 ni nilikuwa msusi wa nywele ,,siku zingine nakomaa mwenyewe huku tunacheza mpira nikiwa nasubiri round ,Huku nasuka,,Kwa kweli Napenda urembo ,, kucha napaka mwenyewe ,
Mtoa mada ikifika zamu ya kutoa vitu ambavyo vinakera kwa wanaume nishtue nije nimwage povu langu
Hivi nyie wanaume kutwa kulalamika. Hivi mnajua nasisi yako mengi yakwenu yanatukera hatuyaongei maana one man's meat is another man's poison kila mtu anakitu anakihitaji na pia kila mtu na choice yake. Tafteni pesa mtakuja kutupata sio kutumalizia stress mxuieee
tena ukutane na yule amenyoa nywele zake,alafu anakauvundo flan hivi kwenye kipochi manyoya weeeee,acha kabisaAisee mwanamke ghafi ni mtamu, embu niambie wewe ni ghafi au umeshajisindika[emoji57] [emoji57].
La shaha mimi kama unavyo niona cna kitu chochote fake. Sema tu mmezidi gubu.Wanawake wengi wa Tanzania hawajiamini kuhusu miili yako.
Utakuta ana
Rangi ya ngozi feki,
Kucha feki,
Kope feki,
Rangi ya mdomo feki,
Makalio feki,
Kucha feki,
Nywele feki,
Mapenzi feki.
Jiwe lililotupwa gizani, ukisikia kelele ujewe limempata mtu.
Ni kweli hata wanaowashughulisha watu hawana maendeleo...ukiamua kuvaa kimini hadi chupi ikabaki nje unakuwa unawashughulisha watu na utakuwa huna maendeleo...pia heshima yako mbele ya jamii itashuka.Utafiti unaonyesha wengi wenye tabia ya kujishughurisha na mambo ya watu yasiyowahusu hawanaga maendeleo.
kuja home/kunifata sehem bila taarifa au sababu maalum, wenyewe wanaita surprise hii tabia inanikeraga mno!
Tutafute pesa ili tukununue wewe??Hivi nyie wanaume kutwa kulalamika. Hivi mnajua nasisi yako mengi yakwenu yanatukera hatuyaongei maana one man's meat is another man's poison kila mtu anakitu anakihitaji na pia kila mtu na choice yake. Tafteni pesa mtakuja kutupata sio kutumalizia stress mxuieee