Mmmhh.yananikera manamke mabonge af sio masafi... napia manamke haya ya insta yanayovaa nusu uchi then yanapiga picha nakujikuta ma supa staaa, yananikera zaid majimama ya uswahilini yanayojichubua, sura inakuwa km paka, inakela manamke yanayocheza ngoma...wanaita nn sijui..huwa had yanasasambua..mishanga kibao tena mbele ya watoto...laana iwe juu yenu! wanakela mademu waongo waongo..njaaa sana, vizinga ndo usiseme!!!!!! zaid zaid wanakera hawa wanawake wanaondekeza pombe na kula kula...had figa inapotea..demu mbongo anakuwa km jimama la kibagachori! ukiangalia faster faster huwezi jua mbele wpi...tumbo limejaa chips mayai na bia..Haraf unakuta linalalamika mume wake kapunguza speed kitandanj..nan anapenda kulala na litukunyema!!!!
Mmh makubwayananikera manamke mabonge af sio masafi... napia manamke haya ya insta yanayovaa nusu uchi then yanapiga picha nakujikuta ma supa staaa, yananikera zaid majimama ya uswahilini yanayojichubua, sura inakuwa km paka, inakela manamke yanayocheza ngoma...wanaita nn sijui..huwa had yanasasambua..mishanga kibao tena mbele ya watoto...laana iwe juu yenu! wanakela mademu waongo waongo..njaaa sana, vizinga ndo usiseme!!!!!! zaid zaid wanakera hawa wanawake wanaondekeza pombe na kula kula...had figa inapotea..demu mbongo anakuwa km jimama la kibagachori! ukiangalia faster faster huwezi jua mbele wpi...tumbo limejaa chips mayai na bia..Haraf unakuta linalalamika mume wake kapunguza speed kitandanj..nan anapenda kulala na litukunyema!!!!
Acha mihemko wewe, naandika ninachokiaminiNatumaini mama yako si mwanamke
Naamini huna ndugu yoyote wa kike
Na kama hujajaliwa uzao naamini hutokuja kuzaa mtoto wa kike
Namalizia kwa kuamini kuwa hiyo kauli itakuja kukuhukumu mwenyewe
Mmh makubwa
Hahahaha! Mkuu taratibu...utauaaaaaaaaaa! Subiri wenyewe waje.Wengine wamejichubuaaaa hadi mishipa ya damu naona nje nje.. ssshiiiiihh.., hadi ngozi inatisha sana kama shetani, kinyaaa, macho kama nyau, mavipodizi uchafu tupu, sasa kyuma na mkyndvni kweusiiiiiiiiiiiii kama mkaa vile.. usoni mweupeeeeee kwa kujichubuaaaaa ngozi kama kiti moto mweupe aliyechunwa... ptuuuuuhh
ngoja nitoe weaving langu nibaki kipara!Moja ya tabia za akina mama zinazoniudhi ni urembo bandia wa kucha, nywele, kope, nyusi, makalio, nyonyo na vitakataka vingine kama hivyo.
Utakuta mwanamke kaanika vipaja uchwara vyake nje akisuguliwa miguu na kubandikwa kucha bandia. Na haipiti hata wiki moja kucha zimebanduka anaenda kuweka zingine. Hivi hawa wanawake ni nani aliyewaroga?
Je, ni tabia gani ya kike inayokukera na kukufanya uwaone wanawake kama mazombie?
Mwanamke anayetembea na toothpick mdomoni hata salamu simpi.
Mwanamke aliyesukia weaving linamuwasha kwa uchafu badala ya kulitoa anajipiga-piga kichwa kujikuna kila baada ya dakika 2.
Mwanamke wa aina hii akinisemesha simjibu kitu mpaka akatoe hizo nywele za maiti.
nimenyoa Ila Leo nimevaa wigii[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Bora ubaki kipara kuliko kuvaa nywele za maiti.
mie ntakupa packt ya omo usukutulie hlo povu!Mtoa mada ikifika zamu ya kutoa vitu ambavyo vinakera kwa wanaume nishtue nije nimwage povu langu
nimechoka kufunga rembaa!!Bora ungefunga kilemba kuliko kuvaa wigi...bado unaonekana kituko!
wigi la nini sasa check mwenzio alivyo pendezanimenyoa Ila Leo nimevaa wigii[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
wigi la nini sasa check mwenzio alivyo pendeza