Tabia za kinamama zinazoniudhi

Tabia za kinamama zinazoniudhi

tpaul

Platinum Member
Joined
Feb 3, 2008
Posts
25,970
Reaction score
25,357
Moja ya tabia za akina mama zinazoniudhi ni urembo bandia wa kucha, nywele, kope, nyusi, makalio, nyonyo na vitakataka vingine kama hivyo.

Utakuta mwanamke kaanika vipaja uchwara vyake nje akisuguliwa miguu na kubandikwa kucha bandia. Na haipiti hata wiki moja kucha zimebanduka anaenda kuweka zingine. Hivi hawa wanawake ni nani aliyewaroga?

Je, ni tabia gani ya kike inayokukera na kukufanya uwaone wanawake kama mazombie au misukule?
 
Mwanamke anayetembea na toothpick mdomoni hata salamu simpi.

Mwanamke aliyesukia weaving linamuwasha kwa uchafu badala ya kulitoa anajipiga-piga kichwa kujikuna kila baada ya dakika 2.
Mwanamke wa aina hii akinisemesha simjibu kitu mpaka akatoe hizo nywele za maiti.
 
Wangu nilimkataza kujikream, kucha ndefu , mikope bandia ,Ila Nywele kila wiki asuke maana Napenda mwanamke mwenye kusuka kila msuko nalipa hela maana b4 ni nilikuwa msusi wa nywele ,,siku zingine nakomaa mwenyewe huku tunacheza mpira nikiwa nasubiri round ,Huku nasuka,,Kwa kweli Napenda urembo ,, kucha napaka mwenyewe ,
 
Mwanamke anayetembea na toothpick mdomoni hata salamu simpi.

Mwanamke aliyesukia weaving linamuwasha kwa uchafu badala ya kulitoa anajipiga-piga kichwa kujikuna kila baada ya dakika 2.
Mwanamke wa aina hii akinisemesha simjibu kitu mpaka akatoe hizo nywele za maiti.
Umeona eeh? Wanaudhi sana I see.
 
Wangu nilimkataza kujikream, kucha ndefu , mikope bandia ,Ila Nywele kila wiki asuke maana Napenda mwanamke mwenye kusuka kila msuko nalipa hela maana b4 ni nilikuwa msusi wa nywele ,,siku zingine nakomaa mwenyewe huku tunacheza mpira nikiwa nasubiri round ,Huku nasuka,,Kwa kweli Napenda urembo ,, kucha napaka mwenyewe ,
Kweli kabisa mkuu....raha jipe wenyewe!
 
Hivi nyie wanaume kutwa kulalamika. Hivi mnajua nasisi yako mengi yakwenu yanatukera hatuyaongei maana one man's meat is another man's poison kila mtu anakitu anakihitaji na pia kila mtu na choice yake. Tafteni pesa mtakuja kutupata sio kutumalizia stress mxuieee
 
Kutumia sauti ya juu hasahasa kupitia simu za mikononi wanapoongea mambo yao ya ndani, kifamilia, ugomvi na unafiki wowote katika mikusanyiko ya watu wengi. Mf. Ndani ya Daladala, barabarani, kwenye sherehe n.k
 
yananikera manamke mabonge af sio masafi... napia manamke haya ya insta yanayovaa nusu uchi then yanapiga picha nakujikuta ma supa staaa, yananikera zaid majimama ya uswahilini yanayojichubua, sura inakuwa km paka, inakela manamke yanayocheza ngoma...wanaita nn sijui..huwa had yanasasambua..mishanga kibao tena mbele ya watoto...laana iwe juu yenu! wanakela mademu waongo waongo..njaaa sana, vizinga ndo usiseme!!!!!! zaid zaid wanakera hawa wanawake wanaondekeza pombe na kula kula...had figa inapotea..demu mbongo anakuwa km jimama la kibagachori! ukiangalia faster faster huwezi jua mbele wpi...tumbo limejaa chips mayai na bia..Haraf unakuta linalalamika mume wake kapunguza speed kitandanj..nan anapenda kulala na litukunyema!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom