Tabia ya Wazee waliopitia Ubaharia

Tabia ya Wazee waliopitia Ubaharia

kadoda11

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2011
Posts
21,453
Reaction score
20,755
Wadau hivi kwanini wazee wengi walio pitia Ubaharia hupenda kujiona bado ni Vijana?

Muangalie baba yake Dully Sykes mzee Abby Sykes,Mihereni na Mipete vidoleni mpaka Uzeeni .Yupo Mzee mwingine hapa Mtaani kwetu,ni Baharia wa zamani,hana mke mpaka hii leo na anaishi nyumba ya kupanga.Altitude and appearance ni kama ya baba yake Dully.

Kuna wazee wengine wawili huwa nawaona posta mjini-DSM,mienendo na muonekano wao ulinifanya nitake kuwafahamu zaidi.wanaowafahamu wakaniambia hao wazee ni ma-former seaman.

Na kwa hapa Jf tunaye Brother Le Big Show,Le Mutuz Le Baharia,King of all Social Media in Tz. wanao mfahamu,wanadai kiumri he is betwen 50-55 na aliwahi kuwa Baharia,lakini mambo yake ni kama kijana wa miaka 18-25.wote tu mashuhuda wa hilo.

Hawa ni wachache tu,Natumai umewahi kukutana na hawa Babaharia wa wazamani huko mitaani na umeoona mienendo yao.

Najiuliza Ubaharia unawafanya nini hawa jamaa mpaka wanakuwa hivyo walivyo?.Ina maana hata hawa vijana Mabaharia wa sasa,watakapofikisha umri mkubwa kuanzia miaka 50 watakuwa na tabia kama ya le mutuz?.

karibu ktk mada.
 
Ndugu yang baharn hakuna ubishoo wala totozi!!... Kule kaz tuu..

mkuu nahoji tabia yao ya kujifanya bado ni vijana hata kama umri umeenda,sina shaka na uchapakazi wao huko baharini.
 
Teh teh teh!
We ulitegemea masugar dady wajizeeshe?
Huyo lemutuz tumbo kuuubwa na umri mkubwa lkn akili ka karanga!
anapenda ndogo ndogo ka lodilofa!
Majitu mazima haya aibu.

Kambaff kabisa.
ovyoo!
 
Wanazeekea kunako bandari coz unakuta mtu miaka 20 yuko majini lzm ajisahau km utu uzima ushatia timu kwake so anaresume pale alpoishia

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Wanazeekea kunako bandari coz unakuta mtu miaka 20 yuko majini lzm ajisahau km utu uzima ushatia timu kwake so anaresume pale alpoishia

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

mtoa mada #akidi imepatikana.
 
Huwa hawana maendeleo kwasababu ya matumizi mabaya ya pesa kwa wanawake (A sailor has a wife in every Port).
 
Wakuu,Baharia wengi wameingiliwa na pepo wa Sodoma na Gomora; na hivyo wana tabia za jini mahaba wa pwani za ushoga nk !
 
kuna hili suala la foolish age, ni la muhimu. usipolitumia katika wakati wake kwa kubanwa na mazingira, lazima litake kujirudia ukubwani! usipojizuia ndo yanakukuta ya kina kapuyanga. baharia,mine boy,shule za seminali, geti kali. kijana akipita huko anakua tait na mazingira ya upuuzi anakua hana ! kwa kifupi siku akiachiwa anakua kama mbwa dume wa mwezi wa sita, piga ua lazima avunje banda!
 
Wadau hivi kwanini wazee wengi walio pitia Ubaharia hupenda kujiona bado ni Vijana?

Muangalie baba yake Dully Sykes mzee Abby Sykes,Mihereni na Mipete vidoleni mpaka Uzeeni .Yupo Mzee mwingine hapa Mtaani kwetu,ni Baharia wa zamani,hana mke mpaka hii leo na anaishi nyumba ya kupanga.Altitude and appearance ni kama ya baba yake Dully.

Kuna wazee wengine wawili huwa nawaona posta mjini-DSM,mienendo na muonekano wao ulinifanya nitake kuwafahamu zaidi.wanaowafahamu wakaniambia hao wazee ni ma-former seaman.

Na kwa hapa Jf tunaye Brother Le Big Show,Le Mutuz Le Baharia,King of all Social Media in Tz. wanao mfahamu,wanadai kiumri he is betwen 50-55 na aliwahi kuwa Baharia,lakini mambo yake ni kama kijana wa miaka 18-25.wote tu mashuhuda wa hilo.

Hawa ni wachache tu,Natumai umewahi kukutana na hawa Babaharia wa wazamani huko mitaani na umeoona mienendo yao.

Najiuliza Ubaharia unawafanya nini hawa jamaa mpaka wanakuwa hivyo walivyo?.Ina maana hata hawa vijana Mabaharia wa sasa,watakapofikisha umri mkubwa kuanzia miaka 50 watakuwa na tabia kama ya le mutuz?.

karibu ktk mada.

MZee AMANI ABEID KARUME ..PIA ALIKUWA BAHARIA ...

SIDHANI KAMA MAHARIA WA LEO WATAKUA HIVO KWANI KUNA UTANDAWAZI NA MTU ANAWEZA JIFUNZA TAMADUNI TOFAUTI BILA KUSAFRII

IELEWEKE TULIKUA TUNAWASHANGAA MABAHARIA KWA KUWA WALIKUWA SO EXPOSED TO MANY CULTURES KUANZIA KUFANYA KAZI NA MATAIFA MBALI MBALI MELINI ..HADI KUTEMBELEA NCHI NYINGI.....
 
Kwan ilikuaje Lemutuz awe baharia wakati katoka familia bora!
 
Hapa kitaa yupo mmoja hapungui miaka 55, hana lolote ila kwa story utapenda, anadai ameshatembea nchi zote za mwambao.

Kafulia na hadi leo anavuta ganja, ukipita ka fegi kako either umpe yeye au umnunulie.

Mkiongea hakupi nafasi wallah! Afu ni mtu wa kupenda kujua mambo ya watu yasiyomuhusu kabsaa.

Awa mabaharia wa zamani wengi wao wamechezea maisha na kusambaza vitoto wasivyovijua ktk ulimwengu.
 
Teh teh teh!
We ulitegemea masugar dady wajizeeshe?
Huyo lemutuz tumbo kuuubwa na umri mkubwa lkn akili ka karanga!
anapenda ndogo ndogo ka lodilofa!
Majitu mazima haya aibu.

Kambaff kabisa.
ovyoo!

teh teh kahtaan bhana.niaje mkuu.
 
Hata Baba Wa Taifa La Zanzibar Field Marshal John Okello Naye Alikuwa Le Baharia.
 
Back
Top Bottom