Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,157
- 2,663
Kwan ilikuaje Lemutuz awe baharia wakati katoka familia bora!
Familia bora kwa lipi?
Kwan ilikuaje Lemutuz awe baharia wakati katoka familia bora!
Wadau hivi kwanini wazee wengi walio pitia Ubaharia hupenda kujiona bado ni Vijana?
Muangalie baba yake Dully Sykes mzee Abby Sykes,Mihereni na Mipete vidoleni mpaka Uzeeni .Yupo Mzee mwingine hapa Mtaani kwetu,ni Baharia wa zamani,hana mke mpaka hii leo na anaishi nyumba ya kupanga.Altitude and appearance ni kama ya baba yake Dully.
Kuna wazee wengine wawili huwa nawaona posta mjini-DSM,mienendo na muonekano wao ulinifanya nitake kuwafahamu zaidi.wanaowafahamu wakaniambia hao wazee ni ma-former seaman.
Na kwa hapa Jf tunaye Brother Le Big Show,Le Mutuz Le Baharia,King of all Social Media in Tz. wanao mfahamu,wanadai kiumri he is betwen 50-55 na aliwahi kuwa Baharia,lakini mambo yake ni kama kijana wa miaka 18-25.wote tu mashuhuda wa hilo.
Hawa ni wachache tu,Natumai umewahi kukutana na hawa Babaharia wa wazamani huko mitaani na umeoona mienendo yao.
Najiuliza Ubaharia unawafanya nini hawa jamaa mpaka wanakuwa hivyo walivyo?.Ina maana hata hawa vijana Mabaharia wa sasa,watakapofikisha umri mkubwa kuanzia miaka 50 watakuwa na tabia kama ya le mutuz?.
karibu ktk mada.
Wadau hivi kwanini wazee wengi walio pitia Ubaharia hupenda kujiona bado ni Vijana?
Muangalie baba yake Dully Sykes mzee Abby Sykes,Mihereni na Mipete vidoleni mpaka Uzeeni .Yupo Mzee mwingine hapa Mtaani kwetu,ni Baharia wa zamani,hana mke mpaka hii leo na anaishi nyumba ya kupanga.Altitude and appearance ni kama ya baba yake Dully.
Kuna wazee wengine wawili huwa nawaona posta mjini-DSM,mienendo na muonekano wao ulinifanya nitake kuwafahamu zaidi.wanaowafahamu wakaniambia hao wazee ni ma-former seaman.
Na kwa hapa Jf tunaye Brother Le Big Show,Le Mutuz Le Baharia,King of all Social Media in Tz. wanao mfahamu,wanadai kiumri he is betwen 50-55 na aliwahi kuwa Baharia,lakini mambo yake ni kama kijana wa miaka 18-25.wote tu mashuhuda wa hilo.
Hawa ni wachache tu,Natumai umewahi kukutana na hawa Babaharia wa wazamani huko mitaani na umeoona mienendo yao.
Najiuliza Ubaharia unawafanya nini hawa jamaa mpaka wanakuwa hivyo walivyo?.Ina maana hata hawa vijana Mabaharia wa sasa,watakapofikisha umri mkubwa kuanzia miaka 50 watakuwa na tabia kama ya le mutuz?.
karibu ktk mada.
Le Mutuz nyumba inaungua huku....!
Le Mutuz nyumba inaungua huku....!
huyu jamaa alikuwa kweli baharia au mpishi kwenye hayo mameli?
mtu yoyote anayefanya kazi melini ni baharia hta km akiwa mpishi
Wakuu,Baharia wengi wameingiliwa na pepo wa Sodoma na Gomora; na hivyo wana tabia za jini mahaba wa pwani za ushoga nk !
Wadau hivi kwanini wazee wengi walio pitia Ubaharia hupenda kujiona bado ni Vijana?
Muangalie baba yake Dully Sykes mzee Abby Sykes,Mihereni na Mipete vidoleni mpaka Uzeeni .Yupo Mzee mwingine hapa Mtaani kwetu,ni Baharia wa zamani,hana mke mpaka hii leo na anaishi nyumba ya kupanga.Altitude and appearance ni kama ya baba yake Dully.
Kuna wazee wengine wawili huwa nawaona posta mjini-DSM,mienendo na muonekano wao ulinifanya nitake kuwafahamu zaidi.wanaowafahamu wakaniambia hao wazee ni ma-former seaman.
Na kwa hapa Jf tunaye Brother Le Big Show,Le Mutuz Le Baharia,King of all Social Media in Tz. wanao mfahamu,wanadai kiumri he is betwen 50-55 na aliwahi kuwa Baharia,lakini mambo yake ni kama kijana wa miaka 18-25.wote tu mashuhuda wa hilo.
Hawa ni wachache tu,Natumai umewahi kukutana na hawa Babaharia wa wazamani huko mitaani na umeoona mienendo yao.
Najiuliza Ubaharia unawafanya nini hawa jamaa mpaka wanakuwa hivyo walivyo?.Ina maana hata hawa vijana Mabaharia wa sasa,watakapofikisha umri mkubwa kuanzia miaka 50 watakuwa na tabia kama ya le mutuz?.
karibu ktk mada.
Teh teh teh!
We ulitegemea masugar dady wajizeeshe?
Huyo lemutuz tumbo kuuubwa na umri mkubwa lkn akili ka karanga!
anapenda ndogo ndogo ka lodilofa!
Majitu mazima haya aibu.
Kambaff kabisa.
ovyoo!