Tabia ya Wazee waliopitia Ubaharia

Tabia ya Wazee waliopitia Ubaharia

Kuishi ndan ya meli ni kama kuzimu,sasa unapotoka huko unakutana na mambo mengi ambayo unataka uyafanye...
 
Nadhani kuna sababu za kisayansi zinazowafanya hawa jamaa wawe hivi,nimeshawashuhudia mabaharia wa kale wakifanya mambo ya watoto wa shule,disko wao,kukimbizana na videmu mitaani wao,mitungi ya kupitiliza wao,yuko mmoja mitaa ya keko yeye ni gongo mtu,ila anaongea ugha za kimataifa zaidi ya tano,(kama ni kweli).
Hawana familia,hata apate sh.ngapi haridhiki,na fedha zote lazima ziteketee ktk starehe.
Mi nadhani ubaharia ni aina fulani ya jela sasa mtu akifunguliwa ina kuwa ni balaa(hawawezi kuji control wenyewe)
walishazoea ktk meli kuanzia misosi mitungi fegi ganja nguo mpaka chupi wanapewa sasa kujinunulia hawezi.
 
Wadau hivi kwanini wazee wengi walio pitia Ubaharia hupenda kujiona bado ni Vijana?

Muangalie baba yake Dully Sykes mzee Abby Sykes,Mihereni na Mipete vidoleni mpaka Uzeeni .Yupo Mzee mwingine hapa Mtaani kwetu,ni Baharia wa zamani,hana mke mpaka hii leo na anaishi nyumba ya kupanga.Altitude and appearance ni kama ya baba yake Dully.

Kuna wazee wengine wawili huwa nawaona posta mjini-DSM,mienendo na muonekano wao ulinifanya nitake kuwafahamu zaidi.wanaowafahamu wakaniambia hao wazee ni ma-former seaman.

Na kwa hapa Jf tunaye Brother Le Big Show,Le Mutuz Le Baharia,King of all Social Media in Tz. wanao mfahamu,wanadai kiumri he is betwen 50-55 na aliwahi kuwa Baharia,lakini mambo yake ni kama kijana wa miaka 18-25.wote tu mashuhuda wa hilo.

Hawa ni wachache tu,Natumai umewahi kukutana na hawa Babaharia wa wazamani huko mitaani na umeoona mienendo yao.

Najiuliza Ubaharia unawafanya nini hawa jamaa mpaka wanakuwa hivyo walivyo?.Ina maana hata hawa vijana Mabaharia wa sasa,watakapofikisha umri mkubwa kuanzia miaka 50 watakuwa na tabia kama ya le mutuz?.

karibu ktk mada.

mkuu yok huku mzee mmoja alikuw baharia yupo smart akipiga nguo nyeupe anamatch zote had kiatu
 
Wadau hivi kwanini wazee wengi walio pitia Ubaharia hupenda kujiona bado ni Vijana?

Muangalie baba yake Dully Sykes mzee Abby Sykes,Mihereni na Mipete vidoleni mpaka Uzeeni .Yupo Mzee mwingine hapa Mtaani kwetu,ni Baharia wa zamani,hana mke mpaka hii leo na anaishi nyumba ya kupanga.Altitude and appearance ni kama ya baba yake Dully.

Kuna wazee wengine wawili huwa nawaona posta mjini-DSM,mienendo na muonekano wao ulinifanya nitake kuwafahamu zaidi.wanaowafahamu wakaniambia hao wazee ni ma-former seaman.

Na kwa hapa Jf tunaye Brother Le Big Show,Le Mutuz Le Baharia,King of all Social Media in Tz. wanao mfahamu,wanadai kiumri he is betwen 50-55 na aliwahi kuwa Baharia,lakini mambo yake ni kama kijana wa miaka 18-25.wote tu mashuhuda wa hilo.

Hawa ni wachache tu,Natumai umewahi kukutana na hawa Babaharia wa wazamani huko mitaani na umeoona mienendo yao.

Najiuliza Ubaharia unawafanya nini hawa jamaa mpaka wanakuwa hivyo walivyo?.Ina maana hata hawa vijana Mabaharia wa sasa,watakapofikisha umri mkubwa kuanzia miaka 50 watakuwa na tabia kama ya le mutuz?.

karibu ktk mada.

walikuwa wanapitwa na wakati.ndo wanakuja kustuka kuwa wakati ujana unapita walikuwa wakijisaidia baharini.so wanataka kurudisha umri nyuma ili na wao waendane na wakati
 
Kuna mzee hpa kkoo anaitwa mzee muhsin staili zake ndyo km izo ana matusi balaa
 
mtu yoyote anayefanya kazi melini ni baharia hta km akiwa mpishi


sawa,kwanini tusiwatofautishe?baharia nahodha,baharia mpishi,baharia msaidizi wa nahodha.etc etc kama jamaa alikuwa mpishi usione aibu kusema
 
1024px-Toyota_Starlet_Carat.JPG
 
kuna mwingine yupo pale royal girraffe(sudan temeke) anaitwa mpoma kama unaingia club juu yeye ndio anahakiki ticket ana mambo hayo hayo...nahisi amefika miaka ata 55 to 60 akivaa lazima mfuko wa nyuma atoe leso nje
 
Wadau hivi kwanini wazee wengi walio pitia Ubaharia hupenda kujiona bado ni Vijana?

Muangalie baba yake Dully Sykes mzee Abby Sykes,Mihereni na Mipete vidoleni mpaka Uzeeni .Yupo Mzee mwingine hapa Mtaani kwetu,ni Baharia wa zamani,hana mke mpaka hii leo na anaishi nyumba ya kupanga.Altitude and appearance ni kama ya baba yake Dully.

Kuna wazee wengine wawili huwa nawaona posta mjini-DSM,mienendo na muonekano wao ulinifanya nitake kuwafahamu zaidi.wanaowafahamu wakaniambia hao wazee ni ma-former seaman.

Na kwa hapa Jf tunaye Brother Le Big Show,Le Mutuz Le Baharia,King of all Social Media in Tz. wanao mfahamu,wanadai kiumri he is betwen 50-55 na aliwahi kuwa Baharia,lakini mambo yake ni kama kijana wa miaka 18-25.wote tu mashuhuda wa hilo.

Hawa ni wachache tu,Natumai umewahi kukutana na hawa Babaharia wa wazamani huko mitaani na umeoona mienendo yao.

Najiuliza Ubaharia unawafanya nini hawa jamaa mpaka wanakuwa hivyo walivyo?.Ina maana hata hawa vijana Mabaharia wa sasa,watakapofikisha umri mkubwa kuanzia miaka 50 watakuwa na tabia kama ya le mutuz?.

karibu ktk mada.

Yan hawo ndo walivyo awawez kibadila ata kidogo
 
Teh teh teh!
We ulitegemea masugar dady wajizeeshe?
Huyo lemutuz tumbo kuuubwa na umri mkubwa lkn akili ka karanga!
anapenda ndogo ndogo ka lodilofa!
Majitu mazima haya aibu.

Kambaff kabisa.
ovyoo!

CC: @W.J.Malecela umeshaamka?
 
Back
Top Bottom