nasrimgambo
JF-Expert Member
- Jan 10, 2017
- 1,858
- 2,348
kumeibuka tabia ya watu kucheka na kudharau sana kitongoji cha jiji la dar es salaam kiitwacho buza
yani buza ingekuwa mtu, sa hivi angekuwa kajifungia ndani asitoke nje kwa aibu ya kuchekwa,
kila kona ni buza buza buza,
utakuta mtu kasimama kituoni mara daladala ikaja watu kwa nguvu wakagombea kupanda, mtu atasikika anaropoka ' haya tuko buza', utasema buza ndiko pekee hapa mjini kuna kugombea gari.
kapita mdada ana maongezi ya hovyohovyo ya mtaani, mtu atasikika anaropoka ' haya tena mdada wa buza huyo'
instagram nako, utakuta mtu kaposti picha yuko mitaa mizuri mara unakuta mtu anaibuka na kukomenti, ' unayetupa shida ni sie wakazi wa buza' eti kwa maana wao wa buza hawako maeneo mazuri kama aliyoko aliyeposti picha
kwanini buza na sio kwengine
yani buza ingekuwa mtu, sa hivi angekuwa kajifungia ndani asitoke nje kwa aibu ya kuchekwa,
kila kona ni buza buza buza,
utakuta mtu kasimama kituoni mara daladala ikaja watu kwa nguvu wakagombea kupanda, mtu atasikika anaropoka ' haya tuko buza', utasema buza ndiko pekee hapa mjini kuna kugombea gari.
kapita mdada ana maongezi ya hovyohovyo ya mtaani, mtu atasikika anaropoka ' haya tena mdada wa buza huyo'
instagram nako, utakuta mtu kaposti picha yuko mitaa mizuri mara unakuta mtu anaibuka na kukomenti, ' unayetupa shida ni sie wakazi wa buza' eti kwa maana wao wa buza hawako maeneo mazuri kama aliyoko aliyeposti picha
kwanini buza na sio kwengine