min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 46,711
- 128,527
Mhm hapana nakumbuka niliitumia kama soda karatu villas kwa 6000Nimesikia ni kilevi
Mhm hapana nakumbuka niliitumia kama soda karatu villas kwa 6000Nimesikia ni kilevi
Kwenye comment yangu uliyoiquote,kuna sehemu nimetaja warembo?Kwa maana hiyo jf hakuna warembo?
Acha utani bro Evelyn SaltSijui mkuu, ni kitu gani
wewe sikuhizi kuna vijiwe vya wadada wavuta bhangi, hata humu wamoHuu utamaduni wa watoto wa kike kuvuta bangi umetokea wapi?
Siku za hivi karibuni nimekuwa nikikutana na wadada warembo wa vyuo, wengine watumishi katika ofisi za umma na binafsi wanavuta sana bangi. Zamani tulizoea vijana wa kiume ndio walikuwa watumiaji wa bangi lakini hawa nao walionekana watu wa ajabu kwenye jamii.
Sasa hivi hawa warembo tena wasomi na wenye maisha mazuri wanavuta, wanakula na wanakunywa bangi.
Ni kitu gani kinawasibu dada zetu?
Bangi ni bora kuliko pombe, soda na sigara za SM, Embassy nk
😂😂Anataka kurusha stimu huyu.😂😂😂 kwani bangi ina shida gani? Nisaidie kumuuliza huyu
Tumpuuze 😑😂😂Anataka kurusha stimu huyu.
Nakuunga mkono mkuu. Bangi isifananishwe na hizo takataka nyingineBangi ni bora kuliko pombe, soda na sigara za SM, Embassy nk
Mawazo,mapenzi,stress .,wanazitoa kwa bange ,pombe na shishaHuu utamaduni wa watoto wa kike kuvuta bangi umetokea wapi?
Siku za hivi karibuni nimekuwa nikikutana na wadada warembo wa vyuo, wengine watumishi katika ofisi za umma na binafsi wanavuta sana bangi. Zamani tulizoea vijana wa kiume ndio walikuwa watumiaji wa bangi lakini hawa nao walionekana watu wa ajabu kwenye jamii.
Sasa hivi hawa warembo tena wasomi na wenye maisha mazuri wanavuta, wanakula na wanakunywa bangi.
Ni kitu gani kinawasibu dada zetu?
Tatizo ni katiba mpya na tume huru mkuu!Huu utamaduni wa watoto wa kike kuvuta bangi umetokea wapi?
Siku za hivi karibuni nimekuwa nikikutana na wadada warembo wa vyuo, wengine watumishi katika ofisi za umma na binafsi wanavuta sana bangi. Zamani tulizoea vijana wa kiume ndio walikuwa watumiaji wa bangi lakini hawa nao walionekana watu wa ajabu kwenye jamii.
Sasa hivi hawa warembo tena wasomi na wenye maisha mazuri wanavuta, wanakula na wanakunywa bangi.
Ni kitu gani kinawasibu dada zetu?
Serikali zinajua kabisa, ukitumia bangi itakupa uamsho fulani ambao matokeo yake itakua ni ngumu kukutawala.Ndio maana SERIKALI imekataza maana bangi huwafungua watu fikra ikitumika vyema inasaidia Sana Sanaa
Serikali zinajua kabisa, ukitumia bangi itakupa uamsho fulani ambao matokeo yake itakua ni ngumu kukutawala.
Case study GEN ZIII KENYA.
View: https://youtube.com/shorts/aFKSB4yiwLA?si=IJso1M0QK2pjdTAV
Bange ni sigara ya asili inayotokana na mmea asili ambayo unaweza kujitengenezea nyumbani kwako ukavuta.Wakuu bangi ni kitu gani?
Naam.Nakuunga mkono mkuu. Bangi isifananishwe na hizo takataka nyingine