Tabia ya Warembo kuvuta bangi imetokea wapi?

Tabia ya Warembo kuvuta bangi imetokea wapi?

Huu utamaduni wa watoto wa kike kuvuta bangi umetokea wapi?

Siku za hivi karibuni nimekuwa nikikutana na wadada warembo wa vyuo, wengine watumishi katika ofisi za umma na binafsi wanavuta sana bangi. Zamani tulizoea vijana wa kiume ndio walikuwa watumiaji wa bangi lakini hawa nao walionekana watu wa ajabu kwenye jamii.

Sasa hivi hawa warembo tena wasomi na wenye maisha mazuri wanavuta, wanakula na wanakunywa bangi.

Ni kitu gani kinawasibu dada zetu?
wewe sikuhizi kuna vijiwe vya wadada wavuta bhangi, hata humu wamo
 
Huu utamaduni wa watoto wa kike kuvuta bangi umetokea wapi?

Siku za hivi karibuni nimekuwa nikikutana na wadada warembo wa vyuo, wengine watumishi katika ofisi za umma na binafsi wanavuta sana bangi. Zamani tulizoea vijana wa kiume ndio walikuwa watumiaji wa bangi lakini hawa nao walionekana watu wa ajabu kwenye jamii.

Sasa hivi hawa warembo tena wasomi na wenye maisha mazuri wanavuta, wanakula na wanakunywa bangi.

Ni kitu gani kinawasibu dada zetu?
Mawazo,mapenzi,stress .,wanazitoa kwa bange ,pombe na shisha
 
Huu utamaduni wa watoto wa kike kuvuta bangi umetokea wapi?

Siku za hivi karibuni nimekuwa nikikutana na wadada warembo wa vyuo, wengine watumishi katika ofisi za umma na binafsi wanavuta sana bangi. Zamani tulizoea vijana wa kiume ndio walikuwa watumiaji wa bangi lakini hawa nao walionekana watu wa ajabu kwenye jamii.

Sasa hivi hawa warembo tena wasomi na wenye maisha mazuri wanavuta, wanakula na wanakunywa bangi.

Ni kitu gani kinawasibu dada zetu?
Tatizo ni katiba mpya na tume huru mkuu!
 
Wakuu bangi ni kitu gani?
Bange ni sigara ya asili inayotokana na mmea asili ambayo unaweza kujitengenezea nyumbani kwako ukavuta.

Ajabu ni kwamba serikali haitaki uvute kitu asili, wanataka wakupe sigara iliyotengenezwa kiwandani ikaongezwa kemikali(embassy, sportsman).

Huu ni uzwazwa wa hali ya juu.
 
POMBE NI MBAYA SANA,LAKINI BANGI INASIFA MBAYA SANA

Ni ngumu sana kuielewa hii statement hasa ukiwa sio muelewa
 
Back
Top Bottom