Huu utamaduni wa watoto wa kike kuvuta bangi umetokea wapi?
Siku za hivi karibuni nimekuwa nikikutana na wadada warembo wa vyuo, wengine watumishi katika ofisi za umma na binafsi wanavuta sana bangi. Zamani tulizoea vijana wa kiume ndio walikuwa watumiaji wa bangi lakini hawa nao walionekana watu wa ajabu kwenye jamii.
Sasa hivi hawa warembo tena wasomi na wenye maisha mazuri wanavuta, wanakula na wanakunywa bangi.
Ni kitu gani kinawasibu dada zetu?
Siku za hivi karibuni nimekuwa nikikutana na wadada warembo wa vyuo, wengine watumishi katika ofisi za umma na binafsi wanavuta sana bangi. Zamani tulizoea vijana wa kiume ndio walikuwa watumiaji wa bangi lakini hawa nao walionekana watu wa ajabu kwenye jamii.
Sasa hivi hawa warembo tena wasomi na wenye maisha mazuri wanavuta, wanakula na wanakunywa bangi.
Ni kitu gani kinawasibu dada zetu?