Hebu weka pichaEti nyie wadada, mna shida gan hadi muweke kikopo cha kukojolea ndan alafu mnavyojifanya wajanja sasa tukija mnakitoa nje...
mbaya sanaUmaskini.
Kwa hiyo shida ilikuwa nini?Mimi kuna siku nilwahi kumfichia mdada mmoja kopo lake la kukojolea basi akakojolea beseni yaan ukimfichia beseni anatumia ndoo ndogo ukimfichia ndoo anatumia vikopo vya dawa au mafuta au masufuria yaliyoyotoboka halafu anaamka mapema anamwaga kwenye majani basi iyo sehemu majani hayaoti sijui kwanini
Ndio mkuu, tupo...🤣Kumbe kuna wanajf wanakaa nyumba zisizo na vyoo ndani?