Akili huna mchango unatoa wa harusi hutoi ili ukale au kunywa kula na kunywa kwenu au kwa mama nitilie au restaurant au popoteMaharusi mengi tunayo changia yani mtu ushapakia bia zako za kutosha unakuta msosi mkubwa ni pilau au wali wa maji.
Kama na kukumbuka sikukuchangia .Ndio asira zako za kukosa michango umezileta hapa utupikie pilauAkili huna mchango unatoa wa harusi hutoi ili ukale au kunywa kula na kunywa kwenu au kwa mama nitilie au restaurant
Pesa unatoa kusaidia tu shughuli yao wakikupa chakula au kinywaji sawa wasipokupa sawa sio kesi bwege wewe
Usicgangie kama lengo lako ukitoa laki taoni mchango wa harusi unataka unataka walau nusu ubomoe hujielewiKama na kukumbuka sikukuchangia .Ndio asira zako za kukosa michango umezilita hapa utupikie pilau
Naona umepaniki kama charamila na mchengerwaUsicgangie kama lengo lako ukitoa laki taoni mchango wa harusi unataka unataka walau nusu ubomoe hujielewi
Usichange kabisa huelewi michango ya harusi maana yake nini
Una utoto mwingi
Vikao vya michango ya harusi kaa navyo mbali
Mama,,,e kande wapewe kina bwashee walio vaa masuruali ya kitambaa pale mbele kutokea vudee na suji[ wapare]Usijali tutaanza kupika makande!
kande mtakula nyote mpaka maharusi ni mkiendelea ukaidi soda hampati mnapata kande na chai...🤣Mama,,,e kande wapewe kina bwashee walio vaa masuruali ya kitambaa pale mbele kutokea vudee na suji[ wapare]
Kaka umeniuzi mno , makande ni chakula cha hovyo sijapata kuonakande mtakula nyote mpaka maharusi ni mkiendelea ukaidi soda hampati mnapata kande na chai...🤣
Itanoga zaidi ukumbi ukiwa hauna AC, ni mwendo wa mashuzi tu😀😀kande mtakula nyote mpaka maharusi ni mkiendelea ukaidi soda hampati mnapata kande na chai...🤣
sasa kama hamtaki wali inamaanisha mnataka kande...🤣Kaka umeniuzi mno , makande ni chakula cha hovyo sijapata kuona
Mh! mkuu hii dhambi yako mi siibebi..🤣Itanoga zaidi ukumbi ukiwa hauna AC, ni mwendo wa mashuzi tu😀😀
Wali kande na vinywaji changamishi kweli???? Ndio maana kila siku nasisitiza wapare ni viumbe sio binadamu. Robert Heriel Mtibeli na Mshana Jr, Mbaga Jr ERonisasa kama hamtaki wali inamaanisha mnataka kande...🤣
hapo umeita mpaka wachawi!, hii vita yako mi siipigani ndugu...🤣Wali kande na vinywaji changamishi kweli???? Ndio maana kila siku nasisitiza wapare ni viumbe sio binadamu. Robert Heriel Mtibeli na Mshana Jr