Marconho
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 288
- 444
- Thread starter
- #41
Hio staili ya ukomeshaji sio nzuri aisee unamwambia tu ukweli huyo mtu wako kuwa hauko vizuri kama muelewa atakuelewa ila kama kichwa maji basi! Ila wa kujifunza atajifunza siku nyingine hatorudia! Pia mnaonekana tu by nature sio wa kujitoa kiivo na hali yenu kiuchumi pia ni tete vinywaji/vyakula kitu gani bana nususaa nyingi mtu anaenda msalani!! Kama unazo unatoa tu uzidi kubarikiwa zaidi!
Tatizo yule manzi anajua uwezo wa kuwahudumia ninao! Labda alitaka show off za uswahili! So nilichokifanya sio kwamba sikua vzr ila nilitaka kutoa funzo kwao!