Acha mzigo upumue.. Ukiubana bana unavunda..

Usijali, jawabu la tatizo lako ndio mimi.....nimewasaidia wengi wenye tatizo ka lako
Bora yako maana mficha uchi hazaiHabari zenu wadau
Jamani mimi nina katabia ambako mi mwenyewe sikapendi ila ndo sijui mazoea najikuta nachukia kuvaa chupi. Nitaoga nitavaa ila chupi sivai na kuna muda najikuta period imeanza na sijavaa chupi ntakimbia kuoga ndo ntavaa coz ya period.
Nikimaliza period tu sihitaji tena chupi. Nimejitahidi niache tabia hii nimeshindwa kabisaaa yani sijui ni mapepo dah najua siku ntakuja kuumbuka mie
Prime Minister (PM)Private message
Angelita hujambo?Kama ni nyumbani tu sawa ila ukiwa nje jitahidi uwe unavaa utaja adhirika..
Sijambo MkuuAngelita hujambo?
We acha tu mkuu....ni mkakati mrefu sana ila baadaye huwa nafanikiwa kuwabadiliUnawafanyaje???
Karibu kuvaa at a tight... Utakuja aibika vibayaHabari zenu wadau
Jamani mimi nina katabia ambako mi mwenyewe sikapendi ila ndo sijui mazoea najikuta nachukia kuvaa chupi. Nitaoga nitavaa ila chupi sivai na kuna muda najikuta period imeanza na sijavaa chupi ntakimbia kuoga ndo ntavaa coz ya period.
Nikimaliza period tu sihitaji tena chupi. Nimejitahidi niache tabia hii nimeshindwa kabisaaa yani sijui ni mapepo dah najua siku ntakuja kuumbuka mie