charger
JF-Expert Member
- Nov 21, 2010
- 2,320
- 1,369
Habari ya asubuhi/mchana/jioni wana jf.
Harakati za kutafuta mwezi wa maisha sio kitu rahisi at all,nasema hivyo kwasababu ukimessup hapa bwana utaingia gharama kubwa sana.
Sasa unampenzi wako anadai anakupenda kweli na kusema wewe ndiye chaguo lake.Nawewe unampenda.
Mwenzio huyo sio kwamba anashida sana kivile ila kila kukicha anakuambia mara simu imeingia maji mwongezee hela akanunue nyingine,kuna nguo kaiona atafurahi kama ataipata,Mara nitumie vocha,mara sijui nini.
Swali ni kwamba kuomba hela toka kwa mpenzi wako ni sahihi ua sio sahihi?je tabia hii inaweza kumfanya mpenzi wako akakufikiria vingine?na ni njia ipi sahihi kuelezea tatizo la kifedha kwa mpenzi/mchumba wako?
Harakati za kutafuta mwezi wa maisha sio kitu rahisi at all,nasema hivyo kwasababu ukimessup hapa bwana utaingia gharama kubwa sana.
Sasa unampenzi wako anadai anakupenda kweli na kusema wewe ndiye chaguo lake.Nawewe unampenda.
Mwenzio huyo sio kwamba anashida sana kivile ila kila kukicha anakuambia mara simu imeingia maji mwongezee hela akanunue nyingine,kuna nguo kaiona atafurahi kama ataipata,Mara nitumie vocha,mara sijui nini.
Swali ni kwamba kuomba hela toka kwa mpenzi wako ni sahihi ua sio sahihi?je tabia hii inaweza kumfanya mpenzi wako akakufikiria vingine?na ni njia ipi sahihi kuelezea tatizo la kifedha kwa mpenzi/mchumba wako?