KANYAMA
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 1,482
- 2,272
Eti kafulila kwa hashim Spunda.. aise nimecheka sana kwaweeeliiMwigulu Nchemba kajisajili kwa Jakaya.
Ally Hapi alijisajili kwa Kayanza Mizengo
Nape Nnauye kwa Fredrick Sumaye ( before 2005)
David Kafulila kwa Hashim Spunda
Hussein Bashe kwa Ngoyai
Kigwangwala kwa Mama Salma
Leo huko Urambo Makonda alikuwa na kihelehele kuliko RC wa Tabora Aggrey Mwanri