Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,371
kwanza kwenye gari unakaa staili gani manake, mmh
Tatizo ww unapenda style za kibabylon.
kwanza kwenye gari unakaa staili gani manake, mmh
jina lako limenikumbusha city hunter lol!!!!!!!! Niliipenda sana hii series.kuna shosti wangu alinambia eti kwenye gari inanoga! Labda tusubiri na wengine waje kutoa ushuhuda.
jina lako limenikumbusha city hunter lol!!!!!!!! Niliipenda sana hii series.
kitamu sana cha kwenye gari, hasa ikiwa vitz au stalet
huku ukijidhalilisha utu wako si ndio?
si linatikisika?
Inanoga balaa shost tena iwe unplanned
Kaka, je, na wewe u mmoja wao.....? Umejuaje kama kuna mikunjo humo ndani? Teh he he he.....Mtoto wake ana miaka miwili sasa!!!
Wanasema ati kwenye gari kuna kautam flani hivi, sijui ni ile mikunjo wanayokunjana..
Kwamba wewe na mkeo mkiwa kwenye gari hata kucheka hamcheki? Hata hampigi michapo na kugongeana mikono? Mkiongea hamuangaliani? Hamgusani kwa aina yoyote hata ukamtamani mkeo? Maana kila mtu anacho kinachomfanya amtamani mkewe/mpenziweIle kitu ianhitaji wasaa, huwa nashindwa kuelewa inakuaje kufikia huko kote
Kama wanyama waporini
mi naona poa tu ilhali watu wengine hawaboreki..
wewe gari langu, unajisogeza mpaka hatua ya kuchungulia ndani, tena vioo ni tinted, huo si upaparazi?
we unajuaje mtu ndani ya gari anangonoka kama hujaenda kuomba lifti na kumgongea?
aisee nikikubamba, unakula shaba ya uso.. ndo dawa yenu!!