Tyta
JF-Expert Member
- May 21, 2011
- 12,767
- 10,536
VERY EASY...charty.. kwani wanapongoka, nyie wa nje mnajuaje? vioo vinaachwa wazi?
wanangonokea kwenye foleni? au wanasababisha foleni? kama hapo, wapigwe mijeledi....
ila kama mtu kapaki gari hukooo then kafunga vioo tinted, kapata chake cha fasta, kwanza unajuaje kama kuna mtu anagegedwa ndani?
hebu tuwe wadadisi kwanza...