Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,354
- 829,577
Kuna wanaume wana haka kamchezo kwa kufanyia ngono kwenye magari yao , hawa ni wachepukaji lakini ni ushenzi mtupu kufanyia hicho kitendo ndani ya gari yako !unaitia nuksi si vizuri mbona zipo gesti kibao tu ? za mpaka buku tano ?
Na wewe mwanamke mchepushwaji unakubalije kuchanuliwa miguu kwenye siti ya gari unajidhalilisha mno.
Na wewe mwanamke mchepushwaji unakubalije kuchanuliwa miguu kwenye siti ya gari unajidhalilisha mno.