vamda
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 870
- 539
Habari wanajamvi,
Naishi Tabata Kimanga eneo la maji chumvi. Inasikitisha kampuni ya simu ya umma (ttcl) haina network hili. Tunalazimika kutumia mitandao mingine ya watu binafsi.
Badala ya kuangalia na kutatua changamoto zilizopo watu wapo maofisini kusubiri mishahara mwisho wa mwezi. Tunaendelea kuiangalia Tanzania ya viwanja
Sent using Jamii Forums mobile app
Naishi Tabata Kimanga eneo la maji chumvi. Inasikitisha kampuni ya simu ya umma (ttcl) haina network hili. Tunalazimika kutumia mitandao mingine ya watu binafsi.
Badala ya kuangalia na kutatua changamoto zilizopo watu wapo maofisini kusubiri mishahara mwisho wa mwezi. Tunaendelea kuiangalia Tanzania ya viwanja
Sent using Jamii Forums mobile app