Ni vyema kuchukua tahadhari!
Huu ni ukweli kuna magroup na makundi ya majimama yanasambaza ngoma makusudi kwa vijanapenda slop! Wanawaambukiza makusudi vijana nao wakirudi kwa mademu zao wanawapa!kuna wamama wapo segerea ndio zao wapo kama sita hivi na wanapesa....kuna kundi linatokea kimanga.....alafu kuna lile la dar west lazima uwakute kwa mama seth pale karibu na hospital ya waislamu pale ....wako kama saba au kumi... Wanahonga magari na feniture za ndani vijana alafu wanawamwaga na kutembea na mwingine wakiongozwa na mama seth.[/QUj Dah!kama ni hivo basi tumekwisha!
Huu ni ukweli kuna magroup na makundi ya majimama yanasambaza ngoma makusudi kwa vijanapenda slop!
Wanawaambukiza makusudi vijana nao wakirudi kwa mademu zao wanawapa!kuna wamama wapo segerea ndio zao wapo kama sita hivi na wanapesa....kuna kundi linatokea kimanga.....alafu kuna lile la dar west lazima uwakute kwa mama seth pale karibu na hospital ya waislamu pale ....wako kama saba au kumi...
Wanahonga magari na feniture za ndani vijana alafu wanawamwaga na kutembea na mwingine wakiongozwa na mama seth.
Tufyile nyambala
Mbona imekutouch sana hii mada, au uanaishi kipande hiyo ya Tabata?Uongo, kuna watu wanatoka mbali kuja Tabata kuchukua dawa za kurefusha maisha ili kukwepe fedheha katika maeneo yao, acheni hizo bana......