Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,738
- 11,644
Ni kwamba waonekane wote hawajitambui.Duh kwamba ulitegemea Tulia atoe kauli ya kumpa moyo Ndugai kipindi hiki?
Sidhani kama wewe ungeweza!
Sio uoga, ni busara.
Ni kwamba waonekane wote hawajitambui.Duh kwamba ulitegemea Tulia atoe kauli ya kumpa moyo Ndugai kipindi hiki?
Sidhani kama wewe ungeweza!
Sio uoga, ni busara.
Ashajiuzuluhata humu jamvini JF Ina maana huwaoni mashabiki wake wanakomaa asijiuzulu, wakati ss tunaona hajaomba msamaha Ila kejeli na kundi lake lina shangilia
Mshana wewe Mkali sisi tupo hapa Getini wala hatuna habari
Arudishe zile bilioni 12 za matibabu.Jobo!?kifuatacho ni kushtakiwa...
watu walibisha kishabiki au kimaslahi sasa yamekuaKwa makasiriko haya.. Kwa magumu haya.. Tulitegemea kuona wale tulio pamoja walau tukipeana neno la faraja.. Lakini aah wapi tuko busy tukijipanga na kuomba sana ili litokee la kutokea lile linalotupa matamanio ya kila siku... Mimi ndio nafaa kukaa pale...!
Maonyo ni mengi lakini machache hubeba unabii
Na wenye kadi wanaichukuwa stake asitakeJobo!?kifuatacho ni kushtakiwa...
Hivi kumbe Zungu bado yuko hai? Huyu big no kaka ni fisadi kamalizawatu walibisha kishabiki au kimaslahi sasa yamekua
Mimi naona Zungu anafaa na huyu Mama wa Mbeya aendelee umakamu kwani Katibu wa Bunge pale ni Bidada
Bunge likiongozwa na Mwanamama na Muhimili mwingine Mwanamke tutachemsha
Waliotaka upinzani ufe wanakufa wao kiroho na kimwiliLissu na CHADEMA
Jiwe,job, bashite, chalamila, waunga juhudi,kessy, nkamia,kange, bashiru, polepole,mwita waitara, yetu macho tukishuhudia ndizi ikiendelea kuivaWaliotaka upinzani ufe wanakufa wao kiroho na kimwili
MACHACHE KUHUSU JOB NDUGAINdugai jengo la bunge atakuwa akilionea kwenye gari kama sisi.