Haha bora kukaa kimya tu mkuuWalau pole boss![]()
Aaah weee sema kwelii...?Nasikia ashakabidhi barua usiku huu ya kujiuzuru
Kwa muda mrefu sana walikaa wanaume na wanawake hatukushtika sasa mbona wewe unatia shaka?Mihimili mikuu miwili wakae kina mama, duh
Mkuu nimekucheck dm sikupati, unaweza ukanicheck mimi mkuu🙏Kuna shida hapa
Uongozi ni man orientedKwa muda mrefu sana walikaa wanaume na wanawake hatukushtika sasa mbona wewe unatia shaka?
Aliyekabidhi barua Ni TECNO ya tochi au sabufa?Nasikia ashakabidhi barua usiku huu ya kujiuzuru
Betina naye kabebwa.Duh kwamba ulitegemea Tulia atoe kauli ya kumpa moyo Ndugai kipindi hiki?
Sidhani kama wewe ungeweza!
Sio uoga, ni busara.
Labda ya ku-re omba msamaha.mwana CCM kujiuzulu...next to impossible,labda amepata ukichaaa !!!!Nasikia ashakabidhi barua usiku huu ya kujiuzuru
Hana kundi lolote acha kumpa moyo wewe.Mimi nipo nae jirani hapa sijaona dalili zozote, ni vigumu kuachia top layer halafu aende wapi jua ana kundi kubwa kuliko lile la Lowassa au la G55 licha la humu ndani JF,
nilichosikia ataomba tena msamaha hadharani kabla ya Kikao cha 29/ Jan
Anayesikia neno hili toka kwa Bwana na asikie.Jana nimepata maono;
Ndugai asijiuzulu hili swala limalizwe kwenye vikao vya chama.
Kwani kuna kila dalili ya kuchafuka kwa amani yetu jambo hili likiendelezwa.
Kila upande uretreat amani itawale.
Anayesikia neno hili toka kwa Bwana na asikie.

Dah ukaamua kujiita kabisa NaCN au sio....Its true kila mtu afe kivyakeKufa kufaana!!
Adui muombee njaa....
hata humu jamvini JF Ina maana huwaoni mashabiki wake wanakomaa asijiuzulu, wakati ss tunaona hajaomba msamaha Ila kejeli na kundi lake lina shangiliaHana kundi lolote acha kumpa moyo wewe.
Labda ni neno kutoka kwa bwanako, na siyo bwana Mungu wa majeshi.Jana nimepata maono;
Ndugai asijiuzulu hili swala limalizwe kwenye vikao vya chama.
Kwani kuna kila dalili ya kuchafuka kwa amani yetu jambo hili likiendelezwa.
Kila upande uretreat amani itawale.
Anayesikia neno hili toka kwa Bwana na asikie.