Ralph Tyler
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 2,827
- 3,569
Kiswahili sahihi ni 'taazia'Ni tanzia ama taazia? Kiswahili kigumu kama jiwe.
Kiswahili sahihi ni 'taazia'Ni tanzia ama taazia? Kiswahili kigumu kama jiwe.
Ralph...Asante sana ulamaa Mohamed Said kwa taazia hii, Mwenyezi Mungu ampokee mja wake na amweke mahali pema
Dah... Sheikh,Rohombaya,
Kuna mtu aliniuliza kwa nini kila unapotaja historia ya TANU lazima umtaje na Abdul Sykes?
Mimi nikamjibu kwa kumuuliza swali.
Unaweza kuandika historia ya Azimio la Arusha bila kumtaja Nyerere?
Unaweza kuandika historia ya TANU bila ya kumtaja Abdul Sykes?
Watu wanatajwa kwa stahili zao.
Ikiwa unaona nakosea nifahamishe.
Nyerere na BAKWATA historia inawataja kwa stahili zinazowagusa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Rohombaya,Dah... Sheikh,
Tatizo langu siyo kuwataja....ni namna unavyowataja...aghalabu huwataja kwa mapungufu....hata hivyo uchambuzi wako ni mzuri...tatizo ni uchambuzi elemevu...hauna haki...
Sent using Beretta ARX160
Laki...Abdul Sykes na yeye alikuwa anavuta sigara " clipper" kama Nyerere?
Chere...Mzee Mohammed Said ni aina ya watu unayekutana naye katika maandishi juu ya chochote akakusababisha UJUE KUWA HUJUI na mara nyingine KUKATA TAMAA YA KUJIFUNZA kwani kina anachokwenda katika kulisema jambobna ushahidi ataotoa, havita kuacha tu kinywa wazi bali kitakufikirisha na jibu lake ni ANAJUA HADI ANAKERA.
Allah akupe umri mrefu Akhy ili tuendelee kula matunda ya mti huu.
Sent using Jamii Forums mobile appCronell
Emmanuel..... MUNGU pamoja nasi. Tumsifu Yesu Kristu!...Miaka mingi sasa imepita lakini mengi ya yale aliyonifunza Prof. Emmanuel Kilima Bavu bado nayakumbuka.
Nafarijika sana ninaposoma maandishi yako maana yamejaa busara na mafunzo ya kutosha. Ningependa nijue vitabu ulivyoandika hasa vinavyohusu masuala ya Afrika na Tanzania ili nione namna ambavyo naweza kuvipata kwa ajili ya kujiongezea maarifa. Hongera sana mzee Mohamed Said.Chere...
Najua hadi nakera...
Nacheka peke yangu kama mwehu kwa maneno haya hata sijui niseme nini zaidi ya kumshukuru Allah.
Wakati wa sakata la Salman Rushdie mwaka wa 1989 Prof. Ali Mazrui alialikwa Cornell University, New York kuzungumza.
Basi mkaribishaji akamweleza Prof. Mazrui kwa sifa zake na akampamba mwisho wake.
Mazrui anamsikiliza hadi akamaliza.
Aliposimama kuongea Mazrui akamshukuru kwa kusema, ''Thank you for that generous introduction.''
Maneno hayo tu basi.
Prof. Mazrui kama wewe nilipokusoma ni bingwa wa kucheza na lugha.
Mmeshahabiana kwa hilo.
''Generosity,'' kwa Kiingereza ni ukarimu.
Kuna maneno Mazrui angeweza kuyatumia kumshukuru yule bwana lakini kama Mswahili na yeye mgeni pale Cornell na mgemi lazima akirimiwe ndipo nadhani akaamua kutumia neno hili kuwa kwa utangulizi ule yeye kakirimiwa kama vile mgeni kupewa chai.
Sasa wewe umetumia neno, ''kukera,'' huna maana kama ''kuchukiza,'' ila unataka kusema kuwa ''imefurtu ada.''
Ahsante sana ndugu yangu.
Namshukuru Allah kwa yote.
Mtego...Nafarijika sana ninaposoma maandishi yako maana yamejaa busara na mafunzo ya kutosha. Ningependa nijue vitabu ulivyoandika hasa vinavyohusu masuala ya Afrika na Tanzania ili nione namna ambavyo naweza kuvipata kwa ajili ya kujiongezea maarifa. Hongera sana mzee Mohamed Said.
Amen 🙏Emmanuel..... MUNGU pamoja nasi. Tumsifu Yesu Kristu!
Ndjabu...Hii maana ya "futuristic" Professor Bavu aliitoa wapi? Mtu kukwama kwenye kazi yako sababu umeme umekatika, halafu ukaamua kwenda kumalizia hiyo kazi mahali ambapo kuna umeme wa generator ndiyo "futuristic"? Kwahiyo nikishona barakoa yangu ya kitambaa kwa fundi cherehani sababu sina uwezo wa kununua disposable barakoa za Mchina kila siku, basi huo ni mfano wa "futuristic" thinking?
Au unawezaje kuitaja awamu ya tano bila kumtaja JPMRohombaya,
Kuna mtu aliniuliza kwa nini kila unapotaja historia ya TANU lazima umtaje na Abdul Sykes?
Mimi nikamjibu kwa kumuuliza swali.
Unaweza kuandika historia ya Azimio la Arusha bila kumtaja Nyerere?
Unaweza kuandika historia ya TANU bila ya kumtaja Abdul Sykes?
Watu wanatajwa kwa stahili zao.
Ikiwa unaona nakosea nifahamishe.
Nyerere na BAKWATA historia inawataja kwa stahili zinazowagusa.
Sent using Jamii Forums mobile app