Kazi Ndiyo Kipimo Cha Utu
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 1,211
- 230
Hana leseni Texas na huko ameshawatapeli sana waliomsaidia hivyo ni vigumu na akirudi aanze upya kufuata taratibu za kuomba leseni na kusoma upya.Kwani program aliyosoma yeye si ya American residency!pole sana dr masau....rudi Texas..,TZ ni kama nyani...siku zote nyani haoni kundule..