Taasisi ya Moyo Tanzania yafungwa!

Masikini THI..... niliiona toka mwanzo wakati inatapatapa kwa kuomba msaada.... hatimaye imefariki!!

Hii taasisi imejikongoja jamani, na cha kusikitisha hamna siku iliwahi kuonekana kama ina umuhimu wowote...

Kuna kitu hakipo sawa kwenye hili taifa... tutapigishana kelele sana tu, hilo ndio lililobakia... duuhh... nguvu zinaniisha mie...

Na hichi ndio kinachoendelea kwenye idara nzima ya afya..... hata kama hamna mgomo, kuna mgomo wa asilia tu "KUTELEKEZWA KWA SEKTA"
 
Manaake mkome kuumwa umwa watanzania maskini,sisi wenzenu tunaenda kutibiwa India! (This is a clean ridicule from our green and Yellow party government)
 
Kama nchi inayohitaji na yenye nia ya kufanya mabadiliko na kujiletea maendeleo yake yenyewe na kujivunia serikali ilitakiwa kumpa support ya kutosha Dr.Massau!ila kama kawaida yetu,siasa mpaka kwenye masuala ya msingi kama afya na elimu,this is very sad
 
So, Interesting... Nimeweka hii topic Mapema kabla yako na imehamishwa kwasababu sio ya KISIASA lakini

Yako bado ipo hapa ....???

Hivi wewe william unamatatizo gani kichwani kwako? Mabaaria wenzako walikufanya nini??
 
Hivi wewe william unamatatizo gani kichwani kwako? Mabaaria wenzako walikufanya nini??

[h=2]Tanzania Heart Institute properties auctioned[/h]

Mon, Jul 9th, 2012


Tanzania |


Dar es Salaam-based Tanzania Heart Institute (THI) properties were sold at a public auction yesterday following the High Court's (Land Division) order to recover over 6.9bn/- the former owes the National Social Security Fund (NSSF).

Possible-buyers-look-at-hospital-equipment-and-other-items-that-were-on-sale-during-an-auction-in-Dar-es-Salaam.jpg


Possible buyers look at hospital equipment and other items that were on sale during an auction in
Dar es Salaamyesterday after the High Court ordered that Tanzania Heart Institute properties be sold to recover 6.9bn/- in rent owed to the National Social Security Fund. The event was supervised by Erick Auction Mart workers. (Photo: Tryphone Mweji)


The public auction, which was conducted by Erick Auction Mart and Court Brokers, covered all hospital equipment, and was witnessed by hundreds of people, a spot check by
The Guardian revealed.


This newspaper also witnessed on the walls of the hospital buildings notices informing the public that the THI facility has been officially closed and that the NSSF had already secured another tenant to occupy the premises located along Tunisia Road in Kinondoni municipality.


"This hospital has been closed following the Court Order and there will be no service offered…This building, which belongs to the NSSF, has already secured a new investor," reads the announcement in part.


Those getting into the premises to take part in the auction were charged 5,000/- each at the hospital gate and journalists were barred from entering the public auction area.


NSSF public relations manager Eunice Chiume confirming that the auction was held said it was done to implement a court order.


The High Court (Land Division) ordered the auction last month. The sale comes after the THI withdrew its application and appeal seeking to challenge the High Court ruling authorising execution of the order.


According to court records, the application in question was supposed to be withdrawn as long as April 23, this year by Appeal Court Judges Eusebia Munuo, Mbarouk Mbarouk and Salum Massati following a request by THI lawyers.


THI is indebted of 6,964,574,497/- that has not been paid to NSSF since the institute started renting the fund's buildings.


On March 9, this year High Court Judge Kakusulo Sambo ordered the THI to vacate the NSSF premises for failure to pay the debt.


This was not the first time the High Court issued a vacation order to THI for failure to settle rental fees. In 2008, a similar decision was given, but was set aside later by Court of Appeal after granting an application for revision lodged by the THI after noting some irregularities.


Source
The Guardian






 
vyovyote iwavyo kama taifa tunahitaji taasisi kama hiyo!

Ni kweli tunahitaji, lakini ni LAZIMA zianzishwe katika misingi ambayo ni sustainable. Ikianzishwa katika msingi mbovu, inakufa kama ilivyokufa THI kwa kuanzishwa katika msingi mbovu.
 
Ni kweli tunahitaji, lakini ni LAZIMA zianzishwe katika misingi ambayo ni sustainable. Ikianzishwa katika msingi mbovu, inakufa kama ilivyokufa THI kwa kuanzishwa katika msingi mbovu.

= jimboni kwangu hakuna maji, umeme hakuna, barabara hakuna, shule hazina waalimu, pamba kilo sh. 650/=, pembejeo za kilimo za mwaka jana hazijafika kwa wakulima hadi leo!!!!
naunga mkono 100%
 
Miaka mitano (5) iliyopita, hapa JF kulikuwa na mjadala endelevu mkali sana juu ya ugomvi kati ya Taasisi ya Moyo (THI) na Serikali kupitia Wizara ya Afya. Sakata hili sasa limehitimishwa rasmi kwa kunadishwa kwa mali za THI na huduma kufungwa. Kwangu binafsi hii ni habari mbaya katika mfululizo wa taarifa chungu juu ya matendo ya Serikali kwa Wazalendo wanaojitoa kwa Taifa lao na watu wa nchi yao. Kwa masikitiko makubwa tukio hili linatokea wakati huduma katika Sekta ya Afya zimepolomoka na wadau muhimu wako katika mgomo wa kupigania kuboreshwa kwa mazingira bora ya kazi.

JF imekua sana. Wanachama wa leo karibu ni zaidi ya mara 15 ya wanachama wa mwaka 2007. Wako waliotoka ujana kuja utu uzima na wako waliotoka dalaja la kukosa taarifa kuja kwenye ulimwengu wa habari (hasa mitandao/simu). Hawa wote wanaweza kuwa hawajui mlolongo wa matukio na historia nyuma ya Watendaji kugoma kuboresha mazingira (vifaa, huduma, maslahi ya watumishi, n.k) au kupolomoka kwa UZALENDO wa kweli. Lakini kwa kupitia mfululizo huu ninahakika kwa kiwango fulani watafumbua mawazo na kupata mitazamo sahihi juu ya yote mawili.
Maadam THI wameshindwa kulipa deni walokopesha mkuu wangu tutashindwa kuwatetea isipokuwa haya matatizo yana mwanzo wake ambao nyie wenyewe hamtaki kutazama upande huo, mmelifumbia macho kabisa tatizo linakoanzia wakati mnajua fika wapi tumeharibu...

Sababu kubwa ya kushindwa ama kufa kwa THI ni fedha - wameenda Bankrupt! na pengine credit yao mbovu vile vile maana kufikia kunadiwa mali zao sijui tuwahurumie vipi wao ama wananchi..Makosa yapo ktk muundo wa AFYA nchini (the making of EL wenu mnayemsifia sana. Kama serikali inaunda Muafaka na makanisa wakati fedha zote za mikopo na grants zinazotolewa nchini Hospital za watu binafsi hazipati kitu hata tax exemptions sasa mnategemea nini kitokee maana tukisema wengine mnasema ni Udini na Uislaam. Ukiuliza utaambiwa hii THI ilikuwa private, sijui hizo za makanisa sio private? Haya madaktari wanagoma hadi Bugando ukiuliza ati wanaunga mkono wenzao, jamani jamani tunadanganyana nini hapa?..

Lini Private hospital doctors wanaweza kuingia ktk mgomo wa watumishi wa serikali ktk mafao yasiyowahusu?, lini madaktari wa private wakagoma kwa madai ya vifaa vya kutendea kazi ikiwa Hospital zao hazihusiki wala hazina matatizo hayo?. Tusidanganyane...Something has to be done nacho ni kuua kabisa hii bureaucracy na kuunda Upya mfumo mzima wa Elimu na AFYA otherwise kuna walimu wanakuja nao na mgomo, utasikia hadi shule za makanisa wakigoma kosa bado ni la JK...

Fedha zipo lakini inakuwa allocated kwa mambo mengine kabisa tena bado ni matumizi ya kawaida halafu tunailalamikia serikali ya JK afanye nini yeye ikiwa wananchi wenyewe hamtaki kuona muafaka unakufa?. Hii ni sawa kabisa na wakazi wa bondeni Jangwani ambao wamekufa kwa mafuriko wakaambiwa wahame wakakataa katakata na wananchiu mkawaunga mkono, yametokea tena mafuriko wakafa wengine imekuwa kosa la serikali, wasamaria wema wakaweka kambi zao kusaidia huku wakiilaumu serikali kutowahamisha watu wale. Yaani tafran tupu, maana matukio mengi nchini ni ya kujitakia sisi wenyewe.
 
Yaelekea Dr. Masau aligoma kutoa fungu...maana hii inchi bila rushwa hata biashara yako inafungwa. Au hana kadi ya CCM? coz I used to see watu wanaweka eti picha ya president au vipendera vya magamba kwenye biashara zao ili zisifungwe. Huu uzalendo mchwara huu?
 
Manaake mkome kuumwa umwa watanzania maskini,sisi wenzenu tunaenda kutibiwa India! (This is a clean ridicule from our green and Yellow party government)

We unatukana anayeumwa kama alipenda!!! yatakupata hayo unayoyacheka mana ni kwa neema tu upo hivyo. Si wewe tu bali yeyote yule ktk ukoo wako hakika atapata maradhi makubwa ili iwe fundisho dharau zako shetani wewe.
 
Nasema tena na tena Serikali yetu inaongozwa na watu wenye Idont Care Attitude. Na bado, tuna miaka 3 zaidi. Kazi kweli kweli
 
Nimeumia sana....moyo wangu umeteseka sana kutokana na hili...NA ALAANIWE YEYOT YULE ALIYESHIRIKI KATIKA KUIKANDAMIZA HII HOSPITALI.HATA KAMA INADAIWA... LAKINI NI VINGAPI TANZANIA TUNADAIWA???? TULIWAHI KUDAIWA OVER BILLIONS $ NA MKAPA ALIENDA KUOMBA MSAMAHA AKASAMEHEWA NA TUKAFUTIWA HILO DENI...WHY HIYO HOSPITALI???? KUNA MAFISADI WANGAPI WANADAIWA NA HAWACHUKULIWI HATUA ZA ''MAANA''????


KWELI INAUMA NA MACHOZI YAMENITOKA SANA TENA SANA!!!!!!
 
Kutokana na jinsi tulivyo maelezo yangu yameondolewa makusudi japokuwa ndio ukweli ambao wadanganyika hawataki kuusikia....
 
MIMI NI MTOTO WA FISADI dr Masau vyeti feki,na hivyo vifaa alivikusanya akidai ni msaada muhimbili.wazungu waka donate Leo hii vyake
 
Tutafute ukweli kabla ya kulaumu kwani tutatetea mambo yasiyofaa kutetewa. Dr. Masau alikuwa amefika point ya kutosaidika kutokana na kujisahau kama ilivyo kawaida ya Watanzania tuliowengi. Ilifika wakati bodi ya hospitali ikakaa pembeni maana alikuwa hasikilizi mtu yeyote!

Kwa uzito wa majukumu iliyokuwanayo THI isingewezekana tena kuendeshwa kama mali binafsi ya kuhesabu mapato na matumizi mfukoni. Dr. Masau alikataa shauri mbalimbali alizopewa za namna ya uendeshaji bora wa THI. Mpaka kufika hapo kumekuwa na mambo mengi lkn yote yalipita kuashilia sikio la kufa.

Btw, si kweli kuwa exemption zinatolewa kwa ho ho
 
Back
Top Bottom