We unatukana anayeumwa kama alipenda!!! yatakupata hayo unayoyacheka mana ni kwa neema tu upo hivyo. Si wewe tu bali yeyote yule ktk ukoo wako hakika atapata maradhi makubwa ili iwe fundisho dharau zako shetani wewe.
wewe nawe siku hizi akili zako kama za williy malecela...ukishaingia ccm bana akili zinahama kabisa.....Msiwe wepesi kutupia lawama serikali na watu wengine. Fuatilieni kiini cha mgogoro.
wewe nawe siku hizi akili zako kama za williy malecela...ukishaingia ccm bana akili zinahama kabisa.....
kwani uliandikaje?Kutokana na jinsi tulivyo maelezo yangu yameondolewa makusudi japokuwa ndio ukweli ambao wadanganyika hawataki kuusikia....
kwa hiyo unafurahi kakomolewa? naona kama hoja zako zimekaa kaa kama vile..ukome!
Ugomvi nadhani ulikuwa ni ile tenipasenti ya wagonjwa wanaoenda kutibiwa nje........serikaili badala ya kuifadhili iweze kuendelea ndio kwanza inaididmiza.............Mungu awalaani waliohusikaNaona finally Wizara imefanikiwa kumuangusha Dr Shayo ktk huu mradi wake uliokuwa ukiwasaidia sana watu masikini wenye matatizo ya moyo. Baadhi ya Viongozi wa Wizara ya Afya walikuwa hawapikiki kabisa na mmiliki wa hii hospitali, na jamaa waliahidi wangemtia adabu na wamefanikiwa kweli!
Daktari!Hizi ni habari mbaya sana. Nakumbuka ni katika Hospitali hii mwenzi wangu wa maisha alipata suluhisho la matatizo ya ugonjwa wake wa moyo baada ya kuchoka majigambo ya Dr. Rwakatare ambaye pamoja na kuwa na bei chafu ya huduma yake, bado ananyodo kupita kiasi. Tulipoanza kupata matibabu kwenye hospitali hii, baada ya muda mfupi alipata nafuu na hatimae tatizo kutoweka baada ya kutumia kwa muda dawa alizopewa.
Pamoja na hayo, sijui ni kwanini serikali inalaumiwa katika kufungwa kwa hii hospitali. Je ni kwa kuwa wizara ilikuwa inaipiga vita hii hospitali kwani ilikuwa inaingilia ulaji wa watu kwani badala ya kwenda India wangeweza kutibiwa hapa? Je ni kwa kuwa serikali iliendelea kuwapeleka watu India ingawa wangeweza kupata hiyo huduma hapa na hivyo kufanya malengo ya kuanzishwa kwa hospitali hii yasifikiwe (it was under capacity operating/under utilized) hivyo kutoweza ku-break point?
Je tunajua tumeisha jiuliza ni kwanini Dr. Masau alikuwa alipi kodi ya pango? Kuna maswali mengi zaidi ya majibu hivyo nasita kuilaumu serikali kwa hatua ya kuuzwa mali za Hospital unless nipate maelezo ya kutosha.
Tiba