Taasisi ya Elimu ichunguzwe

Kabla hujasema NONESENSE kwa vitabu vya TIE jiulize, mwenye jukumu la kuandaa mtaala ni nani? Na umeangalia mitihani ya NECTA ukakuta iko nje ya vitabu vya TIE?

Mi nafikiri tupime usharo wa vitabu vyao kwa kuangalia mitihani na marking scheme za mitihani ya NECTA Kama ziko nje ya vitabu vyao ndio tuwahukumu
Siyo kweli kwamba vitabu vya kiada (T.I.E) vina kila kitu au vinajitosheleza kwa kila eneo au mada ndo maana tuna vitabu vya ziada na rejea.

Syllabus ndo inamwongoza mwalimu ni kipi kinapaswa kufundishwa na kipi hakipaswi kufundishwa wala si kitabu. Kitabu ni sehemu ya kufanyia rejea anapo andaa notes pamoja na kuongeza maarifa, kuhusiana na mada tajwa ndani ya syllabus. Kuna mengi yaliyo kwenye kitabu lakini yanaweza yasiwe ndani ya syllabus au kuna yaliyoelekezwa kwenye syllabus lakini usiyakute kwenye text books badala yake unayakuta kwenye reference books.

Ndiyo maana T.I.E pamoja na kuandaa text books huwa wanatoa ithibati kwa vitabu vingine vilivyo hakikiwa kutumika mashuleni kama vitabu vya rejea.

Nikirudi kwa mtoa mada, huenda baada ya ukaguzi wamekuta mnatumia vitabu ambavyo havina ithibati, yaani havijathibitishwa rasmi kutumika kama vitabu vya kufundishia mashuleni. Hii hufanyika ili kuepuka kuwa na vitabu vilivyo na makosa ya kiuandishi au vyenye maelelezo hafifu na yaliyojaa makosa ili kuepuka kumpotosha mwanafunzi au kuleta mkanganyiko kwa walimu. Tafadhalini zingatieni sheria
 
NECTA inatunga mitihani inayofanywa nchi nzima kwa kuzingatia sylabus na mtaala wa serikali.

Ili mtihani huo uwe valid, realistic na fair basi ni muhimu tena sana ufanywe na wanafunzi ambao wamefundishwa content/material zilizo sawa.
Tena ikibidi watahiniwa wawe na mazingira sawa ya ufundishwaji.

Si sawa na haki darasa la nne wa Namanyele huko afanye mtihani sawa na wa Tusiime primary school lakini kila mtu kasoma kitabu chake. Hiyo ni unfair treatment of candidates.

Serikali na wadau kwa kuona hilo ilipitisja kuwa kuwe ma kitabu kimoja kwa kila shule isipokuwa international schools na zile zinazotumia mtaala wa Cambridge.

Mjadala huu ulipelekwa mpaka bungeni na wabunge walidemka kwelikweli.

Ukapita na Taasisi ya Elimu (TIE) ikaingia mzigoni kutengeneza hivyo vitabu.

Shule binafsi na hata za serikali ziwe encouraged kutumia na reference books/vitabu vya ziada ili kuwashibisha wanafunzi zaidi lakini kitabu cha kiada/text book inapaswa kutumika hiko hiko na mtihani utungwe kwa kuzingatia text book.
 
Siyo kweli kwamba vitabu vya kiada (T.I.E) vina kila kitu au vinajitosheleza kwa kila eneo au mada ndo maana tuna vitabu vya ziada na rejea.

Syllabus ndo inamwongoza mwalimu ni kipi kinapaswa kufundishwa na kipi hakipaswi kufundishwa wala si kitabu. Kitabu ni sehemu ya kufanyia rejea anapo andaa notes pamoja na kuongeza maarifa, kuhusiana na mada tajwa ndani ya syllabus. Kuna mengi yaliyo kwenye kitabu lakini yanaweza yasiwe ndani ya syllabus au kuna yaliyoelekezwa kwenye syllabus lakini usiyakute kwenye text books badala yake unayakuta kwenye reference books.

Ndiyo maana T.I.E pamoja na kuandaa text books huwa wanatoa ithibati kwa vitabu vingine vilivyo hakikiwa kutumika mashuleni kama vitabu vya rejea.

Nikirudi kwa mtoa mada, huenda baada ya ukaguzi wamekuta mnatumia vitabu ambavyo havina ithibati, yaani havijathibitishwa rasmi kutumika kama vitabu vya kufundishia mashuleni. Hii hufanyika ili kuepuka kuwa na vitabu vilivyo na makosa ya kiuandishi au vyenye maelelezo hafifu na yaliyojaa makosa ili kuepuka kumpotosha mwanafunzi au kuleta mkanganyiko kwa walimu. Tafadhalini zingatieni sheria
Umeongea kweli kabisa. Inawezekana mtoa mada na wenzake wamekutwa na vitabu kanjanja ambavyo havijathibitishwa na TIE.
 
Inabudi muelewe kwa undani mambo haya

Zamani kulikuwa na kitengo huru cha kutoa ithibati ya vitabu kiitwacho EMAC (educational materials approval committee)

From no where kitengo hicho kikawa dysfunctioned

Sasa TET ambao wamejiingiza kufanya biashara kwa hila na mabavu huku wakibebwa na sheria ndio watoe ithibati

It is too unfair kwa sababu TET ina conflict of interest na ni mshindani kamili kwenye biashara.

Ili gaki itendeke TET ibaki kwenye jukumu lake la kuandaa na kutafsiri mitaala na iache kufanya biashara
 
Na wamejipanga kushirikiana na NECTA pia. Maswali yaliyomo kwenye vijitabu vyao uchwara vya TIE ndio yatakayoonekana kwenye mitihani ya NECTA bila kujali ubora wa vitabu na maswali. Pia wameshirikiana na TPA sijui nani hapo bandarini kuna shehena kubwa ya vitabu imezuiliwa isitoke na kuuzwa shule binafsi ili tu kuhakikisha vitabu uchwara vya TIE vinapata soko.
 
Acha kudanganya watu. Hivi umeshasoma utumbo uliomo kwenye vitabu vya TIE.

Kwenye Maths form 1 topic ya Inequalities haipo, walimu tynalazimika kuifundisha kwa kuwahurumia watoto.

Herufi O kwenye BODMAS wanasema ni Open Bracket wakati ni Of hata uki Google utawaumbua.


Halafu Division by Number Line wanasema it is impossible wakati ni it is possible bali ni ukilaza wao..

Mtoto anaingia firm 5 hajui neno parabola kwa sababu ya vilaza wa TIE.

Physics ya TIE huwezi kuilinganisha na ya kwenye Abbot hata chembe.

Kimsingi TIE imeua elimu na vilaza wengi kama wewe hamlijui hili.


Siyo kweli kwamba vitabu vya kiada (T.I.E) vina kila kitu au vinajitosheleza kwa kila eneo au mada ndo maana tuna vitabu vya ziada na rejea.

Syllabus ndo inamwongoza mwalimu ni kipi kinapaswa kufundishwa na kipi hakipaswi kufundishwa wala si kitabu. Kitabu ni sehemu ya kufanyia rejea anapo andaa notes pamoja na kuongeza maarifa, kuhusiana na mada tajwa ndani ya syllabus. Kuna mengi yaliyo kwenye kitabu lakini yanaweza yasiwe ndani ya syllabus au kuna yaliyoelekezwa kwenye syllabus lakini usiyakute kwenye text books badala yake unayakuta kwenye reference books.

Ndiyo maana T.I.E pamoja na kuandaa text books huwa wanatoa ithibati kwa vitabu vingine vilivyo hakikiwa kutumika mashuleni kama vitabu vya rejea.

Nikirudi kwa mtoa mada, huenda baada ya ukaguzi wamekuta mnatumia vitabu ambavyo havina ithibati, yaani havijathibitishwa rasmi kutumika kama vitabu vya kufundishia mashuleni. Hii hufanyika ili kuepuka kuwa na vitabu vilivyo na makosa ya kiuandishi au vyenye maelelezo hafifu na yaliyojaa makosa ili kuepuka kumpotosha mwanafunzi au kuleta mkanganyiko kwa walimu. Tafadhalini zingatieni sheria
 
Na wamejipanga kushirikiana na NECTA pia. Maswali yaliyomo kwenye vijitabu vyao uchwara vya TIE ndio yatakayoonekana kwenye mitihani ya NECTA bila kujali ubora wa vitabu na maswali. Pia wameshirikiana na TPA sijui nani hapo bandarini kuna shehena kubwa ya vitabu imezuiliwa isitoke na kuuzwa shule binafsi ili tu kuhakikisha vitabu uchwara vya TIE vinapata soko.
Soma comment yangu hii Taasisi ya Elimu ichunguzwe
 
Vitabu vya TIE si bora? Unavilinganisha na vitabu vipi?
Soma hii comment yangu

 
Kabla hujasema NONESENSE kwa vitabu vya TIE jiulize, mwenye jukumu la kuandaa mtaala ni nani? Na umeangalia mitihani ya NECTA ukakuta iko nje ya vitabu vya TIE?

Mi nafikiri tupime usharo wa vitabu vyao kwa kuangalia mitihani na marking scheme za mitihani ya NECTA Kama ziko nje ya vitabu vyao ndio tuwahukumu


Soma hii comment yangu

 
Naunga mkono hoja sababu kubwa ni kwamba TIE ni aidha hwako serious au hawana fedha za kuwezesha kuchapa vitabu kwa ufasaha.
Kinachomata kwa wanafunzi ni syllabus na sio vitabu. Naaamini shule zinzotumia vitabu zaidi ya kimoja wana nafasi nzuri ya ufundishaji bora kuliko kungangana na kitabu kimoja toka TIE.

Waoa waliwatumia walimu vitabu kwenye whatsapp muda mrefu kidogo hasa vya darasa la saba. Sidhani mpaka sasa hivi kuna hard copies. Hii Taasisi nadhani kuna watu waliopitwa na wakati lazima iamke
 
TIE ndo taasisi yenye jukumu la kuandaa mitaala ya elimu na uandishi wa vitabu vya kiada na ziada ambayo ipo kisheria. Ili kitabu kiweze kutumiwa na wanafunzi ni lazima kipate ithibati kutoka kwa kamishna wa elimu. TIE inaandaa vitabu vya kiada(text books) ambavyo hufuata mtaala. Vitabu vya waandishi binafsi vilivyopata ithibati hutumika kama vitabu vya ziada(supplementary/reference books). Mwanafunzi hutahiniwa kwa kufuata mtaala ulioandaliwa na TIE. Vitabu vya waandishi binafsi ambavyo havijapata ithibati havitakiwi kutumika shuleni. Baada ya maelezo hayo, kama wewe ni mwalimu unashauriwa kufundisha kwa kufuata mtaala na kwa kutumia vitabu vyenye ithibati.
 
Acha kuropoka bila kujua. Soma post hiii


TIE ndio wanaoandaa mitaala
Vitabu wanaandaa kulingana na mitaala wanayoaandaa
Necta wanatunga mitihani kulingana na mitaala na vitabu vya TIE,, wewe umepata unatumia vitabu gani hivyo unavyosema ni vizuri zaidi ya wanaohusika na elimu?
Huenda hivyo vitabu viko nje ya mtaala
Wacha kutuhumu, ni shule ipi hiyo vitabu vimechomwa?
Ni wapi huko attendance zinachapishwa na TIE?
 
TET abaki na kuandaa curriculum na syllabus

kumpa atoe na vitabu wkt uwezo hana ni kuua elimu nchini

Taasisi binafsi wasimamiwe na TET kama ilivyokuwa zamani
Mbona walitoa vitabu vizuri tu kwa miaka mingi?
 
Siyo kweli kwamba vitabu vya kiada (T.I.E) vina kila kitu au vinajitosheleza kwa kila eneo au mada ndo maana tuna vitabu vya ziada na rejea.

Syllabus ndo inamwongoza mwalimu ni kipi kinapaswa kufundishwa na kipi hakipaswi kufundishwa wala si kitabu. Kitabu ni sehemu ya kufanyia rejea anapo andaa notes pamoja na kuongeza maarifa, kuhusiana na mada tajwa ndani ya syllabus. Kuna mengi yaliyo kwenye kitabu lakini yanaweza yasiwe ndani ya syllabus au kuna yaliyoelekezwa kwenye syllabus lakini usiyakute kwenye text books badala yake unayakuta kwenye reference books.

Ndiyo maana T.I.E pamoja na kuandaa text books huwa wanatoa ithibati kwa vitabu vingine vilivyo hakikiwa kutumika mashuleni kama vitabu vya rejea.

Nikirudi kwa mtoa mada, huenda baada ya ukaguzi wamekuta mnatumia vitabu ambavyo havina ithibati, yaani havijathibitishwa rasmi kutumika kama vitabu vya kufundishia mashuleni. Hii hufanyika ili kuepuka kuwa na vitabu vilivyo na makosa ya kiuandishi au vyenye maelelezo hafifu na yaliyojaa makosa ili kuepuka kumpotosha mwanafunzi au kuleta mkanganyiko kwa walimu. Tafadhalini zingatieni sheria
Hukumwelewa mtoa mada. Yeye kasema vitabu vya TIE haohao watoa ithbati ndiyo vyenye matatizo.

Soma hii comment yangu

 
Wangetoa vitabu elekezi zaidi ya kikoja cha kwao. Wao sio waandaaji Wa msahafu. Tusiibinye Mitihani yetu kufikia tukariri vitu vyao tu.
 
Back
Top Bottom