Mkuu achana na maisha ya udalali ya vitabu vya watu binafsi utaondokana na haya maisha ya kulalamikia watu hovyo.Taasisi ya elimu imeacha jukumu lake la msingi la kutunga na kusimamia mitaala sasa imejawa na uroho na tamaa ya fedha na biashara haramu.
Wanalazimisha shule binafsi zitumie vitabu vyao ambavyo ni below standard.
Wanahonga wakaguzi (wadhibiti ubora) na kuwatumia kufanikisha biashara yao haramu.
Wakaguzi wanapita shule za English medium kunyanyasa wenye shule na kuwaamrisha wakusanye na wachome moto vitabu vyote ambavyo si vya taasisi.
Tunahimiza reading culture lakini taasisi ya elimu wanadiscourace reading culture ili wauze vitabu vyao pekee.
Wanefikia hatua kulazimisha shule binafsi English medium wanunue log book, attendance register walizoziprint wao huu ni uhujumu uchumi.
Hawalipi Kodi wanafanya biashara ya mabilioni pesa zote zinaliwa na mkurugenzi wa taasisi ya elimu akishirikiana na kundi lake maslahi
Waziri Ndakichako ulikuwa mwalimu wangu UDSM very smart indeed nakuheshimu daima
Mama you are so smart please unda tume haraka kuchunguza upuuzi unaofanya na mkurugenzi wa taasisi ya elimu ba kikundi maslahi chake
Wanaihujumu elimu na wanaihujumu Tanzania
Wanatumia ofisi ya Umma kwa maslahi binafsi
Please please please mama yangu Ndalichako na mama yangu Samia Suluhu Hassan nawapenda na kuwaheshimu sana .
Taasisi ya elimu wanawachafua na wanawakosea adabu mno
Please please taasisi ya elimu ni jipu
kama kweli wako vizuri basi uwepo mfumo huru wa kushindanisha tenda kama zenji na kitabu kizuri kipite na kama wao wako vizuri basi watashindaMkuu achana na maisha ya udalali ya vitabu vya watu binafsi utaondokana na haya maisha ya kulalamikia watu hovyo.
macmilan haipo kwa sasa lakini vitabu vyao vilikuwa vizuri pia EMAC ilichangia kutokana na usisiamzi wake licha ya changamoto ya tuhuma za ruhswaMACMILLAN BOOKS
Mimi binafsi nimetumia vitabu vya MACMILLAN nikiwa elimu ya kidato cha nne na kidato cha sita.macmilan haipo kwa sasa lakini vitabu vyao vilikuwa vizuri pia EMAC ilichangia kutokana na usisiamzi wake licha ya changamoto ya tuhuma za ruhswa
Nimewadanganyaje watu?!! Soma vizuri hoja yangu, kimsingi mi sijasema vitabu vya T.I.E viko vizuri sana au kwamba vinajitosheleza. Rudia kusoma vizuri uelewe hoja yangu.Acha kudanganya watu. Hivi umeshasoma utumbo uliomo kwenye vitabu vya TIE.
Kwenye Maths form 1 topic ya Inequalities haipo, walimu tynalazimika kuifundisha kwa kuwahurumia watoto.
Herufi O kwenye BODMAS wanasema ni Open Bracket wakati ni Of hata uki Google utawaumbua.
Halafu Division by Number Line wanasema it is impossible wakati ni it is possible bali ni ukilaza wao..
Mtoto anaingia firm 5 hajui neno parabola kwa sababu ya vilaza wa TIE.
Physics ya TIE huwezi kuilinganisha na ya kwenye Abbot hata chembe.
Kimsingi TIE imeua elimu na vilaza wengi kama wewe hamlijui hili.
.Shutuma nzito hizi Mimi siwezi kujua