Taasisi ya elimu imeacha jukumu lake la msingi la kutunga na kusimamia mitaala sasa imejawa na uroho na tamaa ya fedha na biashara haramu.
Wanalazimisha shule binafsi zitumie vitabu vyao ambavyo ni below standard.
Wanahonga wakaguzi (wadhibiti ubora) na kuwatumia kufanikisha biashara yao haramu.
Wakaguzi wanapita shule za English medium kunyanyasa wenye shule na kuwaamrisha wakusanye na wachome moto vitabu vyote ambavyo si vya taasisi.
Tunahimiza reading culture lakini taasisi ya elimu wanadiscourace reading culture ili wauze vitabu vyao pekee.
Wanefikia hatua kulazimisha shule binafsi English medium wanunue log book, attendance register walizoziprint wao huu ni uhujumu uchumi.
Hawalipi Kodi wanafanya biashara ya mabilioni pesa zote zinaliwa na mkurugenzi wa taasisi ya elimu akishirikiana na kundi lake maslahi
Waziri Ndakichako ulikuwa mwalimu wangu UDSM very smart indeed nakuheshimu daima
Mama you are so smart please unda tume haraka kuchunguza upuuzi unaofanya na mkurugenzi wa taasisi ya elimu ba kikundi maslahi chake
Wanaihujumu elimu na wanaihujumu Tanzania
Wanatumia ofisi ya Umma kwa maslahi binafsi
Please please please mama yangu Ndalichako na mama yangu Samia Suluhu Hassan nawapenda na kuwaheshimu sana .
Taasisi ya elimu wanawachafua na wanawakosea adabu mno
Please please taasisi ya elimu ni jipu
Wanalazimisha shule binafsi zitumie vitabu vyao ambavyo ni below standard.
Wanahonga wakaguzi (wadhibiti ubora) na kuwatumia kufanikisha biashara yao haramu.
Wakaguzi wanapita shule za English medium kunyanyasa wenye shule na kuwaamrisha wakusanye na wachome moto vitabu vyote ambavyo si vya taasisi.
Tunahimiza reading culture lakini taasisi ya elimu wanadiscourace reading culture ili wauze vitabu vyao pekee.
Wanefikia hatua kulazimisha shule binafsi English medium wanunue log book, attendance register walizoziprint wao huu ni uhujumu uchumi.
Hawalipi Kodi wanafanya biashara ya mabilioni pesa zote zinaliwa na mkurugenzi wa taasisi ya elimu akishirikiana na kundi lake maslahi
Waziri Ndakichako ulikuwa mwalimu wangu UDSM very smart indeed nakuheshimu daima
Mama you are so smart please unda tume haraka kuchunguza upuuzi unaofanya na mkurugenzi wa taasisi ya elimu ba kikundi maslahi chake
Wanaihujumu elimu na wanaihujumu Tanzania
Wanatumia ofisi ya Umma kwa maslahi binafsi
Please please please mama yangu Ndalichako na mama yangu Samia Suluhu Hassan nawapenda na kuwaheshimu sana .
Taasisi ya elimu wanawachafua na wanawakosea adabu mno
Please please taasisi ya elimu ni jipu