technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
- Thread starter
-
- #21
AsanteAisee amekufa kifo cha amani sana, ni wachache sana wenye kupata bahati kama hiyo, hapo hakuna masikitiko wala msiba bali ni sherehe ya babu kupumzika kwa amani, RIP babu yetu
AsanteKwa maisha ya sasa ni jambo la kumshukuru Mungu wala usisononeke
AmenMwacheni apumzike kwa amani...
AsantePole sana.......Babu pumzika kwa Amani
AsanteWote mauti yangetufikia hivyo. Mwache apumzike salama. R.I.P babu. Mkamfanyie sherehe huyo!!
RespectKwa umri huo hajafa huyo ameenda kupumzika! Amemaliza safari yake Salama!!!!
AsantePoleni kwa msiba,Mungu ampe pumziko babu.
AsantePole
AsanteRIP BABU
AmenHuna haja ya kuhuzunika. Babu amepumzika salama.
PoaPole kamanda....
OVA
RespectApumzike kwa amani babu yetu....kwa umri huo wala usilie mshukuru Mungu kumuweka miaka yote hiyo maana ni baraka kubwa,mwaka jana pia nilifiwa na babu yangu alifariki akiwa na miaka 115 wakati wa kusomwa historia yake ilipotajwa umri ndugu wote walishangilia na vigelegele vikapigwa, hakuna mtu aliyelia.
RespectHongereni sana Mkuu kwa kuwa na karama ya kuwatunza wazee.....Si sehemu zote za Tanzania wazee wanaishi kwa amani.
Jitahidi kuishi kama Babu yako ili nawe uache Legacy ya kukumbukwa kama ya Babu yako.
Safi asanteBabuska rest in eternal peace
Amen RAAsante
Pole sana braza.Alizaliwa mwaka 1921 huko mjini Musoma.
Ajaugua alilala vizuri tu Jana akiwa anacheka na watu waliokuwa naye karibu lakini kuamuka asubuhi amefariki.
Alikuwa mwanajeshi mstaafu
Mazishi yatafanyika nyumbani kwake Musoma .
Ameacha watoto 19 na wake wawili .
Wajukuu 56 na vitukuu 122.
Nipo ndani ya majonzi makubwa babu yangu ndiye alisababisha mafanikio yangu mpaka hapa nilipo kwa ushauri wake na kwa namna moja hama nyingine.
Nasikitika kutangaza kifo...
95 unamajonziiAlizaliwa mwaka 1921 huko mjini Musoma.
Ajaugua alilala vizuri tu Jana akiwa anacheka na watu waliokuwa naye karibu lakini kuamuka asubuhi amefariki.
Alikuwa mwanajeshi mstaafu
Mazishi yatafanyika nyumbani kwake Musoma .
Ameacha watoto 19 na wake wawili .
Wajukuu 56 na vitukuu 122.
Nipo ndani ya majonzi makubwa babu yangu ndiye alisababisha mafanikio yangu mpaka hapa nilipo kwa ushauri wake na kwa namna moja hama nyingine.
Nasikitika kutangaza kifo...