Taarifa za Msiba: Babu yangu amefariki akiwa na miaka 95

Apumzike kwa amani babu yetu....kwa umri huo wala usilie mshukuru Mungu kumuweka miaka yote hiyo maana ni baraka kubwa,mwaka jana pia nilifiwa na babu yangu alifariki akiwa na miaka 115 wakati wa kusomwa historia yake ilipotajwa umri ndugu wote walishangilia na vigelegele vikapigwa, hakuna mtu aliyelia.
Respect
 
Hongereni sana Mkuu kwa kuwa na karama ya kuwatunza wazee.....Si sehemu zote za Tanzania wazee wanaishi kwa amani.

Jitahidi kuishi kama Babu yako ili nawe uache Legacy ya kukumbukwa kama ya Babu yako.
Respect
 
Pole sana,,,amefariki siku moja na John Glenn(mmarekan wa kwanza kuzunguka anga la dunia,,naye amefariki jana akiwa na miaka 95)
 
Alizaliwa mwaka 1921 huko mjini Musoma.

Ajaugua alilala vizuri tu Jana akiwa anacheka na watu waliokuwa naye karibu lakini kuamuka asubuhi amefariki.

Alikuwa mwanajeshi mstaafu

Mazishi yatafanyika nyumbani kwake Musoma .

Ameacha watoto 19 na wake wawili .

Wajukuu 56 na vitukuu 122.

Nipo ndani ya majonzi makubwa babu yangu ndiye alisababisha mafanikio yangu mpaka hapa nilipo kwa ushauri wake na kwa namna moja hama nyingine.

Nasikitika kutangaza kifo...
Pole sana braza.

Huendi kumzika babu?
 
Alizaliwa mwaka 1921 huko mjini Musoma.

Ajaugua alilala vizuri tu Jana akiwa anacheka na watu waliokuwa naye karibu lakini kuamuka asubuhi amefariki.

Alikuwa mwanajeshi mstaafu

Mazishi yatafanyika nyumbani kwake Musoma .

Ameacha watoto 19 na wake wawili .

Wajukuu 56 na vitukuu 122.

Nipo ndani ya majonzi makubwa babu yangu ndiye alisababisha mafanikio yangu mpaka hapa nilipo kwa ushauri wake na kwa namna moja hama nyingine.

Nasikitika kutangaza kifo...
95 unamajonzii

Huyoookapumzika yukosehemu sahihii mwoombeeni NA walamsiliee
 
Wachaga tunaweka NA matarumbeta kumshukuru MUNGUU KWANZA AMETUMIKA VIZURI KWA KUMWAGA WATOTO WAJUKUU WENYE IDADI KAMILI YA KUTUONGEZEA MAPATO YA TRA HUKO MBELENI BIGUP BABUU
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom