Mkuu taja majina yake matatu na kituo chake cha mwisho kufanya kazi kabla hajastaafu ili tuamini kuwa alikuwa mstaafu wa jeshi!!(swali la kizushi)!!vipi babu yetu alistaafu akiwa na cheo ganiAlizaliwa mwaka 1921 huko mjini Musoma.
Ajaugua alilala vizuri tu Jana akiwa anacheka na watu waliokuwa naye karibu lakini kuamuka asubuhi amefariki.
Alikuwa mwanajeshi mstaafu
Mazishi yatafanyika nyumbani kwake Musoma .
Ameacha watoto 19 na wake wawili .
Wajukuu 56 na vitukuu 122.
Nipo ndani ya majonzi makubwa babu yangu ndiye alisababisha mafanikio yangu mpaka hapa nilipo kwa ushauri wake na kwa namna moja hama nyingine.
Nasikitika kutangaza kifo...
Kwa umri huo hajafa huyo ameenda kupumzika! Amemaliza safari yake Salama!!!!
Alizaliwa mwaka 1921 huko mjini Musoma.
Ajaugua alilala vizuri tu Jana akiwa anacheka na watu waliokuwa naye karibu lakini kuamuka asubuhi amefariki.
Alikuwa mwanajeshi mstaafu
Mazishi yatafanyika nyumbani kwake Musoma .
Ameacha watoto 19 na wake wawili .
Wajukuu 56 na vitukuu 122.
Nipo ndani ya majonzi makubwa babu yangu ndiye alisababisha mafanikio yangu mpaka hapa nilipo kwa ushauri wake na kwa namna moja hama nyingine.
Nasikitika kutangaza kifo...
Mkuu samahani siwezi kwa sababu ambazo ziko juu ya uwezo wangu kwa maana jina lake nalitumia pia itakuwa pia sio nzuri kwa threads zangu za udakuzi ambazo uwa nazileta hapa jamii forumMkuu taja majina yake matatu na kituo chake cha mwisho kufanya kazi kabla hajastaafu ili tuamini kuwa alikuwa mstaafu wa jeshi!!(swali la kizushi)!!vipi babu yetu alistaafu akiwa na cheo gani
AsantePole sn
AsanteIt's fine babuuuu, Kala chumvi huyo
Asantepole sana mkuu
AmenR.I.P babu yetu mpendwa!
AmenPole sana mkuuu. Babu apumzike kwa amani
Pamoja mkuu asante sanaPole Sana Kwa msiba tuko pamoja, maana home ni musoma