Steven Robert Masatu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2009
- 2,458
- 1,821
- Thread starter
- #21
Mimi kilichonishangaza zaidi ni ile aya ya mwisho kwamba kamati itatoa ushauri na kutafuta jinsi ya ushirikiano wa wanahabari, polisi na vyama vya siasa.
Inamaana ile kamati haikwenda kuchunguza kifo cha mwandishi wa habari?
Inamaana ile kamati haikwenda kuchunguza kifo cha mwandishi wa habari?