Taarifa ya Msiba

Taarifa ya Msiba

Mamndenyi

Platinum Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
44,689
Reaction score
64,700
SIDO Makao Makuu imeondokewa na Mhasibu wake Bw. Peter Mkilania, aliyefariki dunia ghafla jana usiku. Peter alikuwa mzima, na alifanya kazi zake kama kawaida, ila ghafla alifikwa na mauti akiwa nyumbani kwake huko Kinondoni.
 
Peter.. May you rest in peace... Poleni Mamndenyi...

Hii story inatukumbusha waweza katika anytime.... Dah!
 
Asante kwenu wote, kwa sasa tunaelekea nyumbani kwake Kinondoni ambapo ndipo panapofanyika taratibu za kuusafirisha mwili wa marehemu kwenda kumzika huko kwao Singida.
 
Asante kwenu wote, kwa sasa tunaelekea nyumbani kwake Kinondoni ambapo ndipo panapofanyika taratibu za kuusafirisha mwili wa marehemu kwenda kumzika huko kwao Singida.


Mwenyezi Mungu awajalie wepesi katika safari na shughuli nzima ya msiba.... Kila la Kheri....
 
Roho ya marehemu ipate rehema kwa Mungu, ipumzike kwa amani. Amen!
 
Asanteni wote, Marehemu Peter Mkilania amesafirishwa leo alfajiri kwenda huko kwao Singida kwa ajili ya maziko, Tunaomba MUNGU awape moyo wa subira wafiwa wote. R.I.P Peter.

rip peter.gif
 
poleni sana wafiwa, Mwenyezi Mungu
awape faraja na nguvu katika kukabiliana
na msiba huu.
R.I.P Peter
 
mkilania wakelanelagya, mupole anakukweetu.
 
Back
Top Bottom