Taarifa ya Mh.Godbless Lema bungeni.

Joseph Sinde Warioba alisema, "UKIKUTA MAHALI MAWAZO YA VIJANA NA WAZEE YANAFANANA UJUE HAPO PAMEDUMAA"
Nakubaliana na Waziri Mkuu Mstaafu kwa asilimia 100%. Bunge la sasa ni la mchanganyiko wa wazee na vijana. Wazee waliomo bungeni hawajazoea mikiki mikiki ya vijana, hivyo watakuwa wanatafuta namna ya kuwa adhibu kila kikao

Nawashauri wazee WAACHIE NGAZI mapema maana kijana aliezoea kukaa kijiweni miaka nenda miaka rudi, hashituki wala hawezi kunyenyekea posho za vikao. Sana sana anakuwa sugu mwisho iko siku mzee akiongea ugoro kama alio ongea Shibuda jana, atapewa ndonga ya pua atoke mchuzi.

Wazee waone aibu kukaa na watoto kama si wajukuu meza moja bungeni kujadili masuala ya Taifa. Wazee wa CCM ndo wametufikisha hapa tulipo, wawa achie vijana nao tuone mambo yao, vinginenvo wasubiri kugawiwa maumivu makali. Vijana hawataendelea kuvumilia kumvunjia heshima mbele ya umma! Tusubiri tuone!
 


Nilifikiri nina chat na mtu mwenye ufahamu wa kawaida kumbe mtu mwenye ufahamu duni. Nitakuletea majina ya waliochukua fomu ili uchambue hapo Wachagga. Kwa hiyo ataenda kuwachukua wachagga Moshi au wapi. halafu unaji contradict kwani kama umesema AR ni ya makabila mengi huoni hao hao ndio beneficiaries.

Kwa taarifa yako most wachagga walioko Arusha ni watu wenye uwezo na hawafikirii kuwaleta watoto wao kuchangiwa na huu mfuko ila nina uhakika watachangia kwa manufaa ya wameru, Waarusha, wamasai n.k
 
Atasimamiaje utawala wa sheria wakati yeye ana rekodi mbaya ya kihalifu?
duh unaongea kama vile lema amefanya maovu makuubwa kama EL,JK,CHENGE na wengine wote walioko madarakani chini ya ccm.sishabikii chama chochote ila ukweli upo palepale tumefika hapa tulipo kwa sababu ya viongozi wasiojua nini maana ya madaraka.na swala la kusoma mbona kila mahali wapoambao shule haijakaa sawa na ni wawakilishi wazuri?MTU ANAZALIWA AKIWA TAYARI NI KIONGOZI NA SHULE INAMUONGEZEA SIFA!heshimu uchaguzi wa wenzako hata kama haujaupenda!je shule yako imekukomboa wapi kama bado si mstaarabu?ulikuwa unacopy vitabu bila kuelewa unatakiwa uishi vipi na wenzio.watu wa arusha si wapuuzi kumchagua lema ingawa wewe unataka waonekane hivyo!unakera bana jirekebishe!
 
Lema asipeleke ushahidi wa maandishi, apeleke CD/DVD ya tukio kama walivyoahidi.Huu ndo wakati mwafaka wakuona huo mkanda.
 
Tarehe 18-12-2010 Lema alipigwa sana mpaka kuzimia na 5-1-2011 Lema + viongozi, wanachama na wapenzi wa Chadema walipigwa sana na kupelekea vifo vya watu watatu, sasa inafika wakati waziri anaanza kuudanganya wananchi juu ya jambo hilo, mtu kama huyu utamfanya nini binafsi hata kumwambia muongo ni kumheshimu sana alipaswa ampe lile lenyewe kabisa...
 

Hivi Lema kuuliza swali ni kituko gani amefanya hapo? au ungekuwa wewe ungeulizaji kwani aulizaye anataka kujua. Pls acha kudandia vitu ambavyo huwezi ku defend
 

kaka maelezo yako yanasifa za kishehe Yahya kwani yamejaa utabiri nadhani ungekuwa na uvumilivu ili uone uhalisia wa mambo.Au uko kazini unafanya kazi ya utabiri au propaganda?
 
Jipe moyo lakini mmechagua garasha safari hii.
Lema hajui siasa, mbaya zaidi hakwenda shule, pia ana historia ya kuwa na kesi kesi zilizomchafulia jina hapo Arusha.

Hivi Kishongo, yule Mbunge wa CCM Nkasi, Mh Kessy aliekuwa akiongea jana utamlinganisha na Lema? Kwa Godbless Lema nakwabia si galasa, tulipima hoja na uwezo wa Lema Vs Dk Batilds Buriani na tukamwona Dk wenu kuwa si kitu pam9oja na PhD na Pesa alizokuwa anamwaga!
 
Jipe moyo lakini mmechagua garasha safari hii.
Lema hajui siasa, mbaya zaidi hakwenda shule, pia ana historia ya kuwa na kesi kesi zilizomchafulia jina hapo Arusha.
You mean ka Jackob zuma,Nelson Mandela,:clap2:
 

Acha kuongea pumba wewe.....machalii wa Arusha wamemchagua sasa wewe inakuhusu nini??? Kwanza unajidhalilisha kwa maneno unayoongea na kuonesha ni mtu usiye ni fikra za kujenga hoja za msingi ktk akili yako..tafakari na chukua hatua
 

Wewe ni pwagu kabisa.
 
.... mji wa kimataifa mchafu na mengine mengi ambayo tunahakika msela anamudu
Batilda anamjua zaidi lema kama anapitaga humu aweke wasifu wake
Hili nalo ni la kupelekwa bungeni? Hao Madiwani kazi zao zitakuwa zipi?
 

Sidhani kama nitakuwa nimekutendea haki nisipokuita wewe MPUMBAVU. Nisamehe kama nimekuudhi lakini thread yako inabainisha vizuri upumbavu wako. Polee!
 
Tutegemee kitu kipya kutoka kwa kijana wetu, naiman mh. Godbless Lema hatatuangusha!
 
90% Wamejaza Fomu kuomba wasaidiwe kusoma niwachagga. Fomu zinapatikana kwa wanachama wa CDM waliowachagga tu au una maana ukijaza fomu tayari umekwisha chaguliwa??

Sasa hao 10% Wndengeleko wako wangapi? Wamsai wako wangap?i Waarusha wako wangapi? Wameru wako wangapi" Au kwa ujumla tupe mchanganyiko wa makabila katika 10% iliyobaki.

 
Uwongo mwingine ni pale aliposema kuwa ccm wako 16 chadema 14 kwa mazingira hayo lazima ccm wangeshinda inawezekana kabisa kwa madiwani wa ccm kpigia cdm
 
We kishogo si unajulikana kuwa mwendawazimu na unalipwa na mafisadi ili kuwasafisha humu JF. Vijikanuni vya bunge sio kitu kigumu kama nyie vishoka mnavyodhania, weka upumbavu wako pembeni. Kanuni za bunge hazimaanishi waziri mkuu akisema uongo watu wamuangalie tu.
 

Masuala ya elimu hayana kabila mjinga wewe, pia hayana dini. Kama hayo makabila mengine hawajazi fomu kuna mtu atawalazimisha. Mbona waislamu ukiwawekea fomu ya kujiunga na madrasa na chuo kikuu wanajaza ya madrasa, hapo utailaumu ccm au kikwete??
 
wengi wenye akili timamu wanajua kwamba Lema ahatapata fair trial, na hasa kwasababu imemgusa prime minister
 
<br />
<br />
Kumbe una u Chadema,nilifikiri unatoa hoja ukiwa katika free mind.Acha uchochezi wako wewe.Watanzania wangekuwa na akili kama zako wangekuwa wamenyanyuka zamani kupitia mauji ya zanzibar ambapo wengi walipoteza maisha.Pia kauli yako sio ya watanzania ila unajifariji mwishowe utaishia kukata tamaa,zingatia facts ni si ukada kama FFU ni member wa chama chako mbona unawashutumu kuua Raia ambao ni wafuasi wenzao.Fikiri kabla ya kunena,acha ushabiki usio kuwa na maono.Mimi na wewe nani kaongea politics?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…