Taarifa ya Mh.Godbless Lema bungeni.

Taarifa ya Mh.Godbless Lema bungeni.

Joseph Sinde Warioba alisema, "UKIKUTA MAHALI MAWAZO YA VIJANA NA WAZEE YANAFANANA UJUE HAPO PAMEDUMAA"
Nakubaliana na Waziri Mkuu Mstaafu kwa asilimia 100%. Bunge la sasa ni la mchanganyiko wa wazee na vijana. Wazee waliomo bungeni hawajazoea mikiki mikiki ya vijana, hivyo watakuwa wanatafuta namna ya kuwa adhibu kila kikao

Nawashauri wazee WAACHIE NGAZI mapema maana kijana aliezoea kukaa kijiweni miaka nenda miaka rudi, hashituki wala hawezi kunyenyekea posho za vikao. Sana sana anakuwa sugu mwisho iko siku mzee akiongea ugoro kama alio ongea Shibuda jana, atapewa ndonga ya pua atoke mchuzi.

Wazee waone aibu kukaa na watoto kama si wajukuu meza moja bungeni kujadili masuala ya Taifa. Wazee wa CCM ndo wametufikisha hapa tulipo, wawa achie vijana nao tuone mambo yao, vinginenvo wasubiri kugawiwa maumivu makali. Vijana hawataendelea kuvumilia kumvunjia heshima mbele ya umma! Tusubiri tuone!
 
Kama kweli wewe ni mdau kwenye huo mfuko utakuwa umeshasikia malalamiko kuwa 90% ya wanafunzi waliojaza fomu ni Wachagga na wanachama wa Chadema.

Ndiyo sera ya cdm kujenga matabaka ya kikabila na kichama?

Arusha kuna Wamasai, Waarusha, Wasonjo, Wameru nk nk. Kwa nini wao watengewe 10% tu?

Tunatilia shaka madhumuni ya kuanzisha mfuko huo.


Nilifikiri nina chat na mtu mwenye ufahamu wa kawaida kumbe mtu mwenye ufahamu duni. Nitakuletea majina ya waliochukua fomu ili uchambue hapo Wachagga. Kwa hiyo ataenda kuwachukua wachagga Moshi au wapi. halafu unaji contradict kwani kama umesema AR ni ya makabila mengi huoni hao hao ndio beneficiaries.

Kwa taarifa yako most wachagga walioko Arusha ni watu wenye uwezo na hawafikirii kuwaleta watoto wao kuchangiwa na huu mfuko ila nina uhakika watachangia kwa manufaa ya wameru, Waarusha, wamasai n.k
 
Atasimamiaje utawala wa sheria wakati yeye ana rekodi mbaya ya kihalifu?
duh unaongea kama vile lema amefanya maovu makuubwa kama EL,JK,CHENGE na wengine wote walioko madarakani chini ya ccm.sishabikii chama chochote ila ukweli upo palepale tumefika hapa tulipo kwa sababu ya viongozi wasiojua nini maana ya madaraka.na swala la kusoma mbona kila mahali wapoambao shule haijakaa sawa na ni wawakilishi wazuri?MTU ANAZALIWA AKIWA TAYARI NI KIONGOZI NA SHULE INAMUONGEZEA SIFA!heshimu uchaguzi wa wenzako hata kama haujaupenda!je shule yako imekukomboa wapi kama bado si mstaarabu?ulikuwa unacopy vitabu bila kuelewa unatakiwa uishi vipi na wenzio.watu wa arusha si wapuuzi kumchagua lema ingawa wewe unataka waonekane hivyo!unakera bana jirekebishe!
 
Lema asipeleke ushahidi wa maandishi, apeleke CD/DVD ya tukio kama walivyoahidi.Huu ndo wakati mwafaka wakuona huo mkanda.
 
Hivi Lema alisema PM ni muongo, au aliuliza kitu gani kitafanyika endapo PM atalidanganya bunge?

Hiyo kauli sioni kama inamaanisha kumuita PM muongo!

Lakini nafasi aliyopewa ataitumia kuweka kile anachoamini ni ukweli mbele ya watanzania!

Kumbukeni hukumu ya haki utolewa na watanzania, hivyo kama Lema ataonewa na wabunge wa ccm kama alivyotokea kwa Zitto enzi zile basi watanzania wataonyesha haki iko wapi?
Tarehe 18-12-2010 Lema alipigwa sana mpaka kuzimia na 5-1-2011 Lema + viongozi, wanachama na wapenzi wa Chadema walipigwa sana na kupelekea vifo vya watu watatu, sasa inafika wakati waziri anaanza kuudanganya wananchi juu ya jambo hilo, mtu kama huyu utamfanya nini binafsi hata kumwambia muongo ni kumheshimu sana alipaswa ampe lile lenyewe kabisa...
 
Sijasema kuwa elimu yake haimruhusu kuwa bungeni, la hasha, anastahili kuwepo kama walivyo profesa Maji M,arefu na Airo uliyemtaja.
Nilichosema ni kwamba elimu yake na malezi yake ya kisiasa (siasa za cdm) yanamfanya afanye vituko vya kipuuzi bungeni.

Hivi Lema kuuliza swali ni kituko gani amefanya hapo? au ungekuwa wewe ungeulizaji kwani aulizaye anataka kujua. Pls acha kudandia vitu ambavyo huwezi ku defend
 
Hii kweli siasa!Lema amekuwa mbumbu akidhani taarifa atakayowasilisha bungeni kulingana na maagizo ya Spika itamnusuru kwa Waziri Mkuu kuonekana kweli kadanganya Bunge na wananchi.Lema hatokuwa na cha ziada mbali na taarifa ileile iliyofahamika kama “Tamko la Chadema” juu ya Mauaji Arusha ambayo imekwisha tolewa na Viongozi wa Chadema na kutaka Nahodha na Mwema kujiuzuru.Mambo yatakuwa kama ifuatavyo:

1)Lema atawasilisha utetezi wake ambao nadhani hautakuwa na jipya mbali ya yale tuliyoyasikia katika media na wengine kujionea.Hapa msingi mkuu wa Lema itakuwa kusisitiza kuwa ilikuwa haki ya kikatiba chadema kuandama na kwa kuwa ilikuwa imekubalika na Kamanda wa Polisi Wilaya ya Arusha.Hapa kosa la Polisi ni kuuwa Raia japo mpaka sasa haijajibiwa kama wenzetu waliuwawa kabla ya kutolewa amri na Viongozi wa Chadema kwa wafuasi kwenda kuwakomboa Lema na wenzie ama baada ya kauli hiyo ya ukombozi.

2)Upande wa Serikali ni dhahiri sababu zao zimekwisha tolewa kuwa maandamano yalikuwa haramu isipokuwa mkutano ulikuwa halali kutokana na kauli ya IGP Mwema kabla ya kikao cha tarehe 5/1/2011.Polisi walilazimika kutumia nguvu pindi Chadema walipolazimisha maandamano na matukio ya vifo vya wenzetu yalitokana na uchochezi wa Viongozi wa Chadema hasa baada ya kuamuru Lema na wenzie wawe wamekombolewa kutoka katika kituo cha Polisi na kufikishwa katika viwanja vya Unga Ltd ndani ya saa moja.Polisi walitumia risasi kama “final resolution” baada ya kuona wanazidiwa nguvu na vijana wa Chadema waliokuwa na “munkari” wa hali ya juu wakitaka kuvamia kituo chenye silaha lukuki.Ni dhahiri hapa ndipo serikali inasema “bahati mbaya” wenzetu watatu waliuwawa.


Bungeni huu ni mtego tu ili haki ionekane kutendeka na Lema ameadhibiwa kwa kufungiwa kuhudhuria vikao visivyopungua vitano bungeni na kulazimika kufuta kauli yake.Na imani kwa bunge ninaloliona mchango wa kile atakacho kiwasilisha Lema uta kuwa ule wa Mudhihir na Zitto kabwe.Lema ata kama anadhani utetezi wake utakuwa “extraordinary” asitarajie maamuzi yatam-favour.

Hii kweli siasa!

Nionavyo mimi hatima ya suala hili ni pale tutakapo pata jibu la kuku na yai kipi kilitangulia?.

kaka maelezo yako yanasifa za kishehe Yahya kwani yamejaa utabiri nadhani ungekuwa na uvumilivu ili uone uhalisia wa mambo.Au uko kazini unafanya kazi ya utabiri au propaganda?
 
Jipe moyo lakini mmechagua garasha safari hii.
Lema hajui siasa, mbaya zaidi hakwenda shule, pia ana historia ya kuwa na kesi kesi zilizomchafulia jina hapo Arusha.

Hivi Kishongo, yule Mbunge wa CCM Nkasi, Mh Kessy aliekuwa akiongea jana utamlinganisha na Lema? Kwa Godbless Lema nakwabia si galasa, tulipima hoja na uwezo wa Lema Vs Dk Batilds Buriani na tukamwona Dk wenu kuwa si kitu pam9oja na PhD na Pesa alizokuwa anamwaga!
 
Jipe moyo lakini mmechagua garasha safari hii.
Lema hajui siasa, mbaya zaidi hakwenda shule, pia ana historia ya kuwa na kesi kesi zilizomchafulia jina hapo Arusha.
You mean ka Jackob zuma,Nelson Mandela,:clap2:
 
Hana jipya.

Lema bado ni kinda kisiasa. Anadhani siasa zinaendeshwa kihuni.

Semina aliyohudhuria Ubungo ilikuwa bure, pesa za serikali zilipotea pale.

Bila shaka upeo wake ulivyo unatokana na elimu yake pamoja na malezi aliyopewa na chama chake.

Hatuna cha kufanya, machalii wa Arusha wamemchagua.

Hata hivyo bado kidogo tu watatambua kuwa imekula kwao - ni hasara ya miaka 5.

Acha kuongea pumba wewe.....machalii wa Arusha wamemchagua sasa wewe inakuhusu nini??? Kwanza unajidhalilisha kwa maneno unayoongea na kuonesha ni mtu usiye ni fikra za kujenga hoja za msingi ktk akili yako..tafakari na chukua hatua
 
Hana jipya.

Lema bado ni kinda kisiasa. Anadhani siasa zinaendeshwa kihuni.

Semina aliyohudhuria Ubungo ilikuwa bure, pesa za serikali zilipotea pale.

Bila shaka upeo wake ulivyo unatokana na elimu yake pamoja na malezi aliyopewa na chama chake.

Hatuna cha kufanya, machalii wa Arusha wamemchagua.

Hata hivyo bado kidogo tu watatambua kuwa imekula kwao - ni hasara ya miaka 5.

Wewe ni pwagu kabisa.
 
.... mji wa kimataifa mchafu na mengine mengi ambayo tunahakika msela anamudu
Batilda anamjua zaidi lema kama anapitaga humu aweke wasifu wake
Hili nalo ni la kupelekwa bungeni? Hao Madiwani kazi zao zitakuwa zipi?
 
Hii kweli siasa!Lema amekuwa mbumbu akidhani taarifa atakayowasilisha bungeni kulingana na maagizo ya Spika itamnusuru kwa Waziri Mkuu kuonekana kweli kadanganya Bunge na wananchi.Lema hatokuwa na cha ziada mbali na taarifa ileile iliyofahamika kama Tamko la Chadema juu ya Mauaji Arusha ambayo imekwisha tolewa na Viongozi wa Chadema na kutaka Nahodha na Mwema kujiuzuru.Mambo yatakuwa kama ifuatavyo:

1)Lema atawasilisha utetezi wake ambao nadhani hautakuwa na jipya mbali ya yale tuliyoyasikia katika media na wengine kujionea.Hapa msingi mkuu wa Lema itakuwa kusisitiza kuwa ilikuwa haki ya kikatiba chadema kuandama na kwa kuwa ilikuwa imekubalika na Kamanda wa Polisi Wilaya ya Arusha.Hapa kosa la Polisi ni kuuwa Raia japo mpaka sasa haijajibiwa kama wenzetu waliuwawa kabla ya kutolewa amri na Viongozi wa Chadema kwa wafuasi kwenda kuwakomboa Lema na wenzie ama baada ya kauli hiyo ya ukombozi.

2)Upande wa Serikali ni dhahiri sababu zao zimekwisha tolewa kuwa maandamano yalikuwa haramu isipokuwa mkutano ulikuwa halali kutokana na kauli ya IGP Mwema kabla ya kikao cha tarehe 5/1/2011.Polisi walilazimika kutumia nguvu pindi Chadema walipolazimisha maandamano na matukio ya vifo vya wenzetu yalitokana na uchochezi wa Viongozi wa Chadema hasa baada ya kuamuru Lema na wenzie wawe wamekombolewa kutoka katika kituo cha Polisi na kufikishwa katika viwanja vya Unga Ltd ndani ya saa moja.Polisi walitumia risasi kama final resolution baada ya kuona wanazidiwa nguvu na vijana wa Chadema waliokuwa na munkari wa hali ya juu wakitaka kuvamia kituo chenye silaha lukuki.Ni dhahiri hapa ndipo serikali inasema bahati mbaya wenzetu watatu waliuwawa.


Bungeni huu ni mtego tu ili haki ionekane kutendeka na Lema ameadhibiwa kwa kufungiwa kuhudhuria vikao visivyopungua vitano bungeni na kulazimika kufuta kauli yake.Na imani kwa bunge ninaloliona mchango wa kile atakacho kiwasilisha Lema uta kuwa ule wa Mudhihir na Zitto kabwe.Lema ata kama anadhani utetezi wake utakuwa extraordinary asitarajie maamuzi yatam-favour.

Hii kweli siasa!

Nionavyo mimi hatima ya suala hili ni pale tutakapo pata jibu la kuku na yai kipi kilitangulia?.

Sidhani kama nitakuwa nimekutendea haki nisipokuita wewe MPUMBAVU. Nisamehe kama nimekuudhi lakini thread yako inabainisha vizuri upumbavu wako. Polee!
 
Tutegemee kitu kipya kutoka kwa kijana wetu, naiman mh. Godbless Lema hatatuangusha!
 
90% Wamejaza Fomu kuomba wasaidiwe kusoma niwachagga. Fomu zinapatikana kwa wanachama wa CDM waliowachagga tu au una maana ukijaza fomu tayari umekwisha chaguliwa??

Sasa hao 10% Wndengeleko wako wangapi? Wamsai wako wangap?i Waarusha wako wangapi? Wameru wako wangapi" Au kwa ujumla tupe mchanganyiko wa makabila katika 10% iliyobaki.

Kama kweli wewe ni mdau kwenye huo mfuko utakuwa umeshasikia malalamiko kuwa 90% ya wanafunzi waliojaza fomu ni Wachagga na wanachama wa Chadema.

Ndiyo sera ya cdm kujenga matabaka ya kikabila na kichama?

Arusha kuna Wamasai, Waarusha, Wasonjo, Wameru nk nk. Kwa nini wao watengewe 10% tu?

Tunatilia shaka madhumuni ya kuanzisha mfuko huo.
 
Uwongo mwingine ni pale aliposema kuwa ccm wako 16 chadema 14 kwa mazingira hayo lazima ccm wangeshinda inawezekana kabisa kwa madiwani wa ccm kpigia cdm
 
Hana jipya.

Lema bado ni kinda kisiasa. Anadhani siasa zinaendeshwa kihuni.

Semina aliyohudhuria Ubungo ilikuwa bure, pesa za serikali zilipotea pale.

Bila shaka upeo wake ulivyo unatokana na elimu yake pamoja na malezi aliyopewa na chama chake.

Hatuna cha kufanya, machalii wa Arusha wamemchagua.

Hata hivyo bado kidogo tu watatambua kuwa imekula kwao - ni hasara ya miaka 5.
We kishogo si unajulikana kuwa mwendawazimu na unalipwa na mafisadi ili kuwasafisha humu JF. Vijikanuni vya bunge sio kitu kigumu kama nyie vishoka mnavyodhania, weka upumbavu wako pembeni. Kanuni za bunge hazimaanishi waziri mkuu akisema uongo watu wamuangalie tu.
 
90% Wamejaza Fomu kuomba wasaidiwe kusoma niwachagga. Fomu zinapatikana kwa wanachama wa CDM waliowachagga tu au una maana ukijaza fomu tayari umekwisha chaguliwa??

Sasa hao 10% Wndengeleko wako wangapi? Wamsai wako wangap?i Waarusha wako wangapi? Wameru wako wangapi" Au kwa ujumla tupe mchanganyiko wa makabila katika 10% iliyobaki.

Masuala ya elimu hayana kabila mjinga wewe, pia hayana dini. Kama hayo makabila mengine hawajazi fomu kuna mtu atawalazimisha. Mbona waislamu ukiwawekea fomu ya kujiunga na madrasa na chuo kikuu wanajaza ya madrasa, hapo utailaumu ccm au kikwete??
 
wengi wenye akili timamu wanajua kwamba Lema ahatapata fair trial, na hasa kwasababu imemgusa prime minister
 
Ni vigumu kujadili wananchi kama hawa wanao andika hizi opinions zao humu ndani ya JF kwa kukaa upande mmoja wa CCM siku zote. Hivi nyie ni binadamu au? Acha kuwa
&quot;Political&quot; mahali pasipo political. Kitu gani kili walazimisha polisi kwenda kuzuia maandamano? Kibali kilitolewa na siku moja baada ya maandalizi ya wananchi wa Chadema kujiandaa kukutana na kusikiliza viongozi wao mnakuja kusema kuna hatari imetoka kwenye kitelejinsia. <b>Tunaomba huo utelejensia mliokuwa nao nini?</b> Hili ndilo swali Pinda na CCM lazima mjibu kwa sababu uonevu na vitisho kwa wananchi mnafikiri vitaendelea mpaka lini. Jeshi la polisi na FFU sio la chama kimoja ni vyombo vya wananchi na humo FFU kuna wanachama wa Chadema kama hamjui. Tukienda kwenye tukio lenyewe la kupiga risasi, tuaona wananchi walikuwa wanatembea na kufurahia siku yao mpaka polisi walipo jitokeza kama nyoka shimoni. Polisi walipotokea na kuanza kupiga risasi na kuwachukua viongozi na wanachama wa Chadema hapo ndio &quot;hell&quot; ilioanza na kila Mtanzania aliekuwepo atakueleza hili. <b>Kuna mashahidi wananchi na kuna videos za hili tukio na huu ujuzi wa kutumia ofisi za serikali, polisi na sasa bungeni kuwadanganya wananchi hatutakubadikila kamwe. </b> Tunataka ushahidi wa Pinda uje mbele ya taifa na Chadema watatoa wao pia. Wanachama wa CCM mnaonekana kama akili zenu na upofu wenu hata televisions hamkuzifungua kuona Misri, Pharaoh Mubarak alipoanguka na kufukuzwa na wananchi wake. <b>Kilicho tokea Misri ni kwamba wananchi walikuwa wanaishi kwenye &quot;military emergency laws&quot; na Fear ndio ilikuwa inawafanya kuogopa kwenda hata kuandamana, hii Fear ilipoondoka tumeona Tahrir Square ilivyobadilisha Misri na prospective ya dunia. Wananchi wa Tanzania wapo karibu ya Tahrir Square na tunasogea tupo hatua kumi tu. Nyie ccm endeleeni kujitia kamba shingoni...</b>
<br />
<br />
Kumbe una u Chadema,nilifikiri unatoa hoja ukiwa katika free mind.Acha uchochezi wako wewe.Watanzania wangekuwa na akili kama zako wangekuwa wamenyanyuka zamani kupitia mauji ya zanzibar ambapo wengi walipoteza maisha.Pia kauli yako sio ya watanzania ila unajifariji mwishowe utaishia kukata tamaa,zingatia facts ni si ukada kama FFU ni member wa chama chako mbona unawashutumu kuua Raia ambao ni wafuasi wenzao.Fikiri kabla ya kunena,acha ushabiki usio kuwa na maono.Mimi na wewe nani kaongea politics?
 
Back
Top Bottom