Taarifa ya Mh.Godbless Lema bungeni.

KISHONGO WEWE NI MTU WA AJABU AMBAYE UNAPENDA KUWAFANYA WOTE WAJINGA HAPA NDANI! Mh. Pinda kwa mdomo wake ametamka wazi kuwa wameuawa waTz 3 wewe unasema watu 3 wewe ni mwehu inamaana sote hapa tunapenda cheap politics,nakuabaliana sana na wana Jf kuwa Pinda aliitumia vizuri fursa aliyoipata toka kwa Mbowe juu ya sakata la Arusha na mh. Spika ndio kamharibia sana Pinda baada kukurupuka ktk directive zake against Mh. Lema! CCM tutake tusitake hapo tutakunywa maji makali ya taarifa ya Lema kwani iko wazi sana na mmoja moja ni hiyo kutamka waTz 3 na mengineyo. .. Ambayo hatukutaka yaanikwe hadharani bungeni laki sasa yataanikwa na wabunge watashiriki kuhukumu in favour of mh. Pinda but ujumbe wa CDM wenye makali utawafikia waTz3
 
Sidhani kama nitakuwa nimekutendea haki nisipokuita wewe MPUMBAVU. Nisamehe kama nimekuudhi lakini thread yako inabainisha vizuri upumbavu wako. Polee!
<br
Na wasi wasi na uwezo wako wa kufikiri.Ila si kosa lako bali ulimbukeni wa kulopoka kila unachokiona pasipo kushirikisha ubongo.
 
I have no guts to vote for a character with such a terrible criminal record to represent me. It is hard to believe that some people can be so blind and do so!

Time will tell, soon you will realise where you went wrong.

Mkuu Kishongo, I sympathise with you. You seem to be really frustrated with CDM's significant advance this time. But step back a little and pause a bit to think: Couldn't it be the "grand performance" of the so-called CCM's "seasoned" politicians - wakomavu wa kisiasa - that is actually promoting CHADEMA? And to characterise Lema in that light (see red highlight) in the face of CCM's cadres' atrocities smacks of pure hypocricy! Time will tell soon? Maybe, but under the type of current leadership what is there to regret about? These people are sending the country to the hounds! People need change. And, by the way, making some mistakes in pursuit of change from a rotten regime is no big deal-it can still be corrected!
 
Mkuu Kishongo, I sympathise with you. You seem to be really frustrated with CDM's significant advance this time. But step back a little and pause a bit to think: Couldn't it be the "grand performance" of the so-called CCM's "seasoned" politicians - wakomavu wa kisiasa - that is actually promoting CHADEMA? And to characterise Lema in that light (see red highlight) in the face of CCM's cadres' atrocities smacks of pure hypocricy! Time will tell soon? Maybe, but under the type of current leadership what is there to regret about? These people are sending the country to the hounds! People need change. And, by the way, making some mistakes in pursuit of change from a rotten regime is no big deal-it can still be corrected!

mkuu..this is another piece of a treasure ...lakini huyu jamaa hata lugha unaona inampa taabu sana.. it is absurd that we have paranoids inside sisiem and this is an added advantage to the victory of the opposition... sisiem are infidels and cowards ...certainly worry and fear is their zombie ..... of what they have done....they have ripped off the dignity and values of Tanzanian citizens ... time will tell and they will be defeated
 
.. Ambayo hatukutaka yaanikwe hadharani bungeni laki sasa yataanikwa na wabunge watashiriki kuhukumu in favour of mh. Pinda but ujumbe wa CDM wenye makali utawafikia waTz3
ila waangalie maana hatuta kubaliana na maamzi ya uonevu zidi ya mbunge wetu...
 
...lakini huyu jamaa hata lugha unaona inampa taabu sana..

What the nonsense are you talking about?

Ongelea hoja. Hatushindani nani bingwa wa lugha.

Kama unajua kusoma na kuandika utakuwa umeelewa ujumbe wangu.

Next time don't leave your rubbish in the forum....take it to the bin.
 
What the nonsense are you talking about?

Ongelea hoja. Hatushindani nani bingwa wa lugha.

Kama unajua kusoma na kuandika utakuwa umeelewa ujumbe wangu.

Next time don't leave your rubbish in the forum....take it to the bin.

paranoid
 
Hakusema Watanzania watatu, alisema watu watatu. Hata kama alikosea na kusema Watanzania watatu, hiyo si hoja kubwa ya kumfanya Mbunge amuite PM muongo.

Kwa masikio yangu nimemsikia Pinda akijibu Swali hilo na alisema kuwa WATANZANIA WATATU WALIKUFA. HUo ni uongo mweupe kabisa. Mbili na Tatu haziwezi kuwa sawa!!!!!
 
Hii kweli siasa!Lema amekuwa mbumbu akidhani taarifa atakayowasilisha bungeni kulingana na maagizo ya Spika itamnusuru kwa Waziri Mkuu kuonekana kweli kadanganya Bunge na wananchi.Lema hatokuwa na cha ziada mbali na taarifa ileile iliyofahamika kama “Tamko la Chadema” juu ya Mauaji Arusha ambayo imekwisha tolewa na Viongozi wa Chadema na kutaka Nahodha na Mwema kujiuzuru.Mambo yatakuwa kama ifuatavyo:

1)Lema atawasilisha utetezi wake ambao nadhani hautakuwa na jipya mbali ya yale tuliyoyasikia katika media na wengine kujionea.Hapa msingi mkuu wa Lema itakuwa kusisitiza kuwa ilikuwa haki ya kikatiba chadema kuandama na kwa kuwa ilikuwa imekubalika na Kamanda wa Polisi Wilaya ya Arusha.Hapa kosa la Polisi ni kuuwa Raia japo mpaka sasa haijajibiwa kama wenzetu waliuwawa kabla ya kutolewa amri na Viongozi wa Chadema kwa wafuasi kwenda kuwakomboa Lema na wenzie ama baada ya kauli hiyo ya ukombozi.

2)Upande wa Serikali ni dhahiri sababu zao zimekwisha tolewa kuwa maandamano yalikuwa haramu isipokuwa mkutano ulikuwa halali kutokana na kauli ya IGP Mwema kabla ya kikao cha tarehe 5/1/2011.Polisi walilazimika kutumia nguvu pindi Chadema walipolazimisha maandamano na matukio ya vifo vya wenzetu yalitokana na uchochezi wa Viongozi wa Chadema hasa baada ya kuamuru Lema na wenzie wawe wamekombolewa kutoka katika kituo cha Polisi na kufikishwa katika viwanja vya Unga Ltd ndani ya saa moja.Polisi walitumia risasi kama “final resolution” baada ya kuona wanazidiwa nguvu na vijana wa Chadema waliokuwa na “munkari” wa hali ya juu wakitaka kuvamia kituo chenye silaha lukuki.Ni dhahiri hapa ndipo serikali inasema “bahati mbaya” wenzetu watatu waliuwawa.


Bungeni huu ni mtego tu ili haki ionekane kutendeka na Lema ameadhibiwa kwa kufungiwa kuhudhuria vikao visivyopungua vitano bungeni na kulazimika kufuta kauli yake.Na imani kwa bunge ninaloliona mchango wa kile atakacho kiwasilisha Lema uta kuwa ule wa Mudhihir na Zitto kabwe.Lema ata kama anadhani utetezi wake utakuwa “extraordinary” asitarajie maamuzi yatam-favour.

Hii kweli siasa!

Nionavyo mimi hatima ya suala hili ni pale tutakapo pata jibu la kuku na yai kipi kilitangulia?.



unapima upepo nini?Waambie wenzako siku zenu zimehesabika tupo kikazi zaidi.
 
Jipe moyo lakini mmechagua garasha safari hii.
Lema hajui siasa, mbaya zaidi hakwenda shule, pia ana historia ya kuwa na kesi kesi zilizomchafulia jina hapo Arusha.
Kishongo una syphillis ya akili,wewe ni zaidi ya failure.
 
Kutoa mawazo si kiburi.
Ongelea hoja, kama Lema hana elimu ya kutosha tusiseme?

Kama wewe una elimu ya kutosha mbona hujawa mbuge. Wako wengi CCM ambao wana elimu mbona hatujaona hata mmoja aliyekuja na mawazo ya kuondokero za kudumu kwa wananchi kama umeme, maji nk? Wenzetu wanawaza Neuclear sisi mbado tunang'ang'ana na umeme wa ramli.
 
Hana jipya.

Lema bado ni kinda kisiasa. Anadhani siasa zinaendeshwa kihuni.

Semina aliyohudhuria Ubungo ilikuwa bure, pesa za serikali zilipotea pale.

Bila shaka upeo wake ulivyo unatokana na elimu yake pamoja na malezi aliyopewa na chama chake.

Hatuna cha kufanya, machalii wa Arusha wamemchagua.

Hata hivyo bado kidogo tu watatambua kuwa imekula kwao - ni hasara ya miaka 5.

Kwa kweli Mh. Lema ana mengi ya kujifunza, maana hata akiisha pata ze laga kidogo hapa dersert anapayuka hovyo hasa kuhusu hiyo issue na kwa upuuzi wake anadhani inampa ujiko! sijui kwa nini asiige mfano wa wabunge makini kama Mh. Mnyika, japo pia ni mbunge mpya but anybody anamheshimu siyo huyu Lema!
 
I have no guts to vote for a character with such a terrible criminal record to represent me. It is hard to believe that some people can be so blind and do so!

Time will tell, soon you will realise where you went wrong.
...these r rubbish comments! if GL hv criminal record, how about ccm as a party, leave aside its mp's as individuals?they r more than criminals!!
 
...these r rubbish comments! if GL hv criminal record, how about ccm as a party, leave aside its mp's as individuals?they r more than criminals!!

Please note: I didn't say Lema is still a criminal. I simply said he has a terrible criminal record.
 
What the nonsense are you talking about?

Ongelea hoja. Hatushindani nani bingwa wa lugha.

Kama unajua kusoma na kuandika utakuwa umeelewa ujumbe wangu.

Next time don't leave your rubbish in the forum....take it to the bin.

tehetehe tehe!ukweli unauma eeh!pole sana ila ujumbe umekufikia tehe tehe tehe!
 


MAMA SPIKA ANNA MAKINDA, BUNGENI KUHESHIMIWE TU 'NGUVU YA HOJA'
KWA WASHIRIKI WOTE; UMRI, VYEO NA USOMI TUKASUBIRIANE MITAANI


Bungeni ndiko pekee mahala ambapo hata nyau tu huthubutu kumtazama moja kwa moja mfalme usoni huku mchezo ukichezwa kwa maneno mdomoni, akili kichwani na maspika wakiwa ni refasrii na washika bendera.

Nasema bungeni ndiko mahala ambapo mchezaji wa kulipwa au kepteni kwenye timu asipokaa vizuri hulambwa chenga mara kibao na wachezaji chipukizi; wengine ambao hata majina bado hawa. Ndio!! Bunge ndio uwanja wa siasa penye mazungumzo ya kistaarabu tu (vijembe, kejeli, na mizengwe mahala pake sokoni) huku kukiw ni kwamba kinachotafutwa kwa kiasi kikubwa ni kushawishiana mwelekeo wa mambo, kuridhishana UKWELI ULIPO, na kutatwa matatizo ya jamii iliowatumeni mahala pale.

Hivyo, hali iliojitokeza kati ya viongozi wetu Waziri Mkuu na Mbunge wa Sumbawanga na mwenzake Mbunge wa Arusha, Gdbless Lema, majuzi bungeni Dodoma, lina mengi mazuri ya kutufundisha kadri bunge letu linavyoendelea kuseheni viongozi vijana na wasomi, kuliko kuishia tu kwenye kutuhumiana UTOVU WA LABDA NIDHAMU na hata wengine kuonekana kule kwamba kila kitiririkacho toka vinywani mwao siku zote kibakia na kuendelea kuwa ni UKWELI NA UKWELI MTUPU!!!

Tusisahau pia kwamba siku zote watu tumezingirwa na minada ya kila aina katika maisha tunayoishi. Wakati mnada wa wafanyabiashara wa mitumba ni Mchikichini kwa Makamba Dar, mnada wa nyama ni Vigunguti, Simu za Wizi pale makutano ya barabara za Independence na Makungnya, ya wambeya vijiweni, na mnada wa silaha haramu toka Rwanda ni pale Kijitonyama Breakpoint, kwao wao wanasiasa mnada wao wa kuuza na au kutetea mawazo chini ya misingi inayoeleweka ni bungeni.

Mpaka hapo kwaza nitangulize po ngezi zangu kwa wabunge wa CHADEMA kwa namna ya pekee wanavyochangia kuweka VIWANGO VYA KIMATAIFA KATIKA UENDESHWAJI WA BUNGE LA VYAMA VINGI ambyo kwa bahati mbaya hayakuzoeleka katika nchi yetu ambayo imekwepo chini ya mfumo wa chama kimoja. Pia, kwa namna ya pekee nimpongeze Mhe Godbless Lema kwa utetezi w nguvu anaouleta bungeni dhidi ya madai ya Waziri Mkuu. Wadadisi wa mambo wanahofia kwamba endapo kutabainika kwamba Mhe Pinda alitoa majibu rahisi kwa maswali magumu basi ofisi ya spika itamchukulia hatua gani?? Jamani wabunge wa CHADEMA mko deepu saaana!! Duu, kwa mtaji wa utetezi huo sasa hapa ni patamu mnoooooooo!! Na sasa tunasubiri kweli kweli mwenendo mzima baada ya hapa tuone inavyokwenda.

Kweli sasa bunge letu si kama enzi zao Marehemu Amran Mayagila,Komanya, Joseph Rwegasira au Fredrick Msuya ambako mbunge kazi yake ilikua ni kuingia pale mjengoni na kuanza kuchapa usingizi waka mjadala ukiendelea huku akitajwa tu jina na spika wa wakati huo, Marehemu Chifu Adam Safi kumuuliza maoni yake juu ya mjadala unaoendelea, mara utasikia mtu mzima kaibuka ndotoni na udenda ukichuruzika, na kusilibia tu jibu lolote lile kama vile 'MHESHIMIWA SPIKA NAUNGA MKONO HOJA ASILIMIA KWA MIA KAMA ILIVYOSEMWA NA MVUNGUMZAJI ALIYETANGULIA'.

Sasa hivi kweli karibu kila mbuge, hasa wale wa upinzani ni watu ambao ni wadadisi wakubwa na wa kudadavua kweli kila nukta n kituo azungumzapo mtu bungeni na hada huku majukwaani mitaani. Ni watu ambao ni wafuatiliaji wakubwa wa mambo, WENYE NIDHAMU KUBWA KWA 'NGUVU YA HOJA' ILA WATOVU WAKUBWA WA NIDHAMU KWA 'HOJA ZA NGUVU'; hata kama hoja za aina hiyo zinashilishwa mbunge mwenye umri mkubwa kuliko Mrehemu mpendwawetu Mzee Abdalla Fundikira, mwenye usomi zaidi ya Maprofesa Sarungi, Mwakyusa au Mwandosya, au mwenye cheo kikubwa cnini kama Mhe Rostam Aziz - kinachoheshimiwa ni nguvu ya hoja tu!!

Je mnaonaje bungeni tukazingatia zaidi heshima, adabu na unyenyeke mkubwa kwa NGUVU ZA HOJA PEKE YAKE (kwa maslahi ya wale waliotutuma bungeni kuwatetea) kama wajumbe rasmi bungeni, halafu baadaye sana tu kukaanza kuzingatia heshima, adabu na unyenyekevu mkubwa kwa umri wa mtu, elimu yake au cheo pindi tukishatoka nje ya bunge??

Hili ni muhimu sana na lazima liwe hivyo mheshimiwa spika kwa sabu ilikuondoa hatari ya waheshimiwa wabunge kubaguana kiumri, kiusomi, na au ki-vyeo kule mjengoni, ni bora tutambue ya kwamba wangiapo ndani ya bunge la ni kazi moja tu - UWAKILISHI WA WATU WAKE WITHOUT FEAR OF FAVOUR - hivyo dira yake kuu ya kutolea heshima, adabu na unyenyekevu ni NGUVU YA HOJA TUU, ili ubunge wake kama li-taasisi linalotegemewa na wengi sana nje ya bunge liweze kufanya kazi bila vikwazo vingi. Hapo ndipo taasisi za Uwaziri Mkuu na Ubunge wa Jimbo la Arusha au nyingine yoyote itaweza kufanya kazi kwa umurua wake stahiki.

Lakini pindi Ndugu Godbless Lema au Mr Sugu, Halima Mdee au David Kafulila anapokutana Ndugu Mizengo Kayanza Peter Pinda aka 'Mtoto wa Mkulima' mwenzangu na mimi hapa basi hapo yale yoote heshima, adabu na unyenyekevu ZIWE MBEEELE KAMA TAI kama ilivyo ada katika jamii yetu ya ki-Tanzania, wazee kutambulika kwa kuwa wametuzaa, kisomo huingatiwa kwakuwa hutuwezesha vizuri zaidi kumudu mazingira yetu tunamoishi na vyeo vithaminiwe hasa wenye dhamana hizo wanapovitumia vizuri zaidi na kwa haki kwetu sote.

Mwisho, heshima, adabu na unyenyekevu zote kwa pamoja ni tamu sana ilioje kwa wanaozipata kila leo na hasa pale ambapo zote hupatikana kwa hiari zaidi!!!
 
Back
Top Bottom