Taarifa ya Mh.Godbless Lema bungeni.

Taarifa ya Mh.Godbless Lema bungeni.

apolycaripto

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2011
Posts
644
Reaction score
225
Hii kweli siasa!Lema amekuwa mbumbu akidhani taarifa atakayowasilisha bungeni kulingana na maagizo ya Spika itamnusuru kwa Waziri Mkuu kuonekana kweli kadanganya Bunge na wananchi.Lema hatokuwa na cha ziada mbali na taarifa ileile iliyofahamika kama “Tamko la Chadema” juu ya Mauaji Arusha ambayo imekwisha tolewa na Viongozi wa Chadema na kutaka Nahodha na Mwema kujiuzuru.Mambo yatakuwa kama ifuatavyo:

1)Lema atawasilisha utetezi wake ambao nadhani hautakuwa na jipya mbali ya yale tuliyoyasikia katika media na wengine kujionea.Hapa msingi mkuu wa Lema itakuwa kusisitiza kuwa ilikuwa haki ya kikatiba chadema kuandama na kwa kuwa ilikuwa imekubalika na Kamanda wa Polisi Wilaya ya Arusha.Hapa kosa la Polisi ni kuuwa Raia japo mpaka sasa haijajibiwa kama wenzetu waliuwawa kabla ya kutolewa amri na Viongozi wa Chadema kwa wafuasi kwenda kuwakomboa Lema na wenzie ama baada ya kauli hiyo ya ukombozi.

2)Upande wa Serikali ni dhahiri sababu zao zimekwisha tolewa kuwa maandamano yalikuwa haramu isipokuwa mkutano ulikuwa halali kutokana na kauli ya IGP Mwema kabla ya kikao cha tarehe 5/1/2011.Polisi walilazimika kutumia nguvu pindi Chadema walipolazimisha maandamano na matukio ya vifo vya wenzetu yalitokana na uchochezi wa Viongozi wa Chadema hasa baada ya kuamuru Lema na wenzie wawe wamekombolewa kutoka katika kituo cha Polisi na kufikishwa katika viwanja vya Unga Ltd ndani ya saa moja.Polisi walitumia risasi kama “final resolution” baada ya kuona wanazidiwa nguvu na vijana wa Chadema waliokuwa na “munkari” wa hali ya juu wakitaka kuvamia kituo chenye silaha lukuki.Ni dhahiri hapa ndipo serikali inasema “bahati mbaya” wenzetu watatu waliuwawa.


Bungeni huu ni mtego tu ili haki ionekane kutendeka na Lema ameadhibiwa kwa kufungiwa kuhudhuria vikao visivyopungua vitano bungeni na kulazimika kufuta kauli yake.Na imani kwa bunge ninaloliona mchango wa kile atakacho kiwasilisha Lema uta kuwa ule wa Mudhihir na Zitto kabwe.Lema ata kama anadhani utetezi wake utakuwa “extraordinary” asitarajie maamuzi yatam-favour.

Hii kweli siasa!

Nionavyo mimi hatima ya suala hili ni pale tutakapo pata jibu la kuku na yai kipi kilitangulia?.
 
Alipohojiwa na waandishi,lema alisema asingependa kuongelea suala hilo ili asidhoofishe ushahidi wake.lazima ana kitu kipya.
 
Mimi nadhani katika hili Makinda hakuonyesha ukomavu wa kisiasa; swali lililoulizwa na Mbowe lilimpa mh. Pinda fursa nzuri kuisafisha serikali dhidi ya sakata la mauaji ya Arusha. Na Pinda alikuwa ameitumia fursa hiyo vizuri sana, Hivyo Makinda amemtifulia Pinda kwa kuzua jambo hilo upya. Mimi naamini ushahidi wa kudhibitisha ya kuwa ukweli wa mambo ni tofauti va alivyoeleza Pinda upo, na bila shaka Lema atahuwasilisha. Serikali kwa kutumia wingi wa wabunge wake inaweza hisitilia maanani ushahidi huo na ikala njama za kumuadhibu Mlema; ikifanya hivyo itakuwa imejidhohofisha na kumjengea umaarufu mlema
 
Hii kweli siasa!Lema amekuwa mbumbu akidhani taarifa atakayowasilisha bungeni kulingana na maagizo ya Spika itamnusuru kwa Waziri Mkuu kuonekana kweli kadanganya Bunge na wananchi.Lema hatokuwa na cha ziada mbali na taarifa ileile iliyofahamika kama "Tamko la Chadema" juu ya Mauaji Arusha ambayo imekwisha tolewa na Viongozi wa Chadema na kutaka Nahodha na Mwema kujiuzuru.Mambo yatakuwa kama ifuatavyo:

1)Lema atawasilisha utetezi wake ambao nadhani hautakuwa na jipya mbali ya yale tuliyoyasikia katika media na wengine kujionea.Hapa msingi mkuu wa Lema itakuwa kusisitiza kuwa ilikuwa haki ya kikatiba chadema kuandama na kwa kuwa ilikuwa imekubalika na Kamanda wa Polisi Wilaya ya Arusha.Hapa kosa la Polisi ni kuuwa Raia japo mpaka sasa haijajibiwa kama wenzetu waliuwawa kabla ya kutolewa amri na Viongozi wa Chadema kwa wafuasi kwenda kuwakomboa Lema na wenzie ama baada ya kauli hiyo ya ukombozi.

2)Upande wa Serikali ni dhahiri sababu zao zimekwisha tolewa kuwa maandamano yalikuwa haramu isipokuwa mkutano ulikuwa halali kutokana na kauli ya IGP Mwema kabla ya kikao cha tarehe 5/1/2011.Polisi walilazimika kutumia nguvu pindi Chadema walipolazimisha maandamano na matukio ya vifo vya wenzetu yalitokana na uchochezi wa Viongozi wa Chadema hasa baada ya kuamuru Lema na wenzie wawe wamekombolewa kutoka katika kituo cha Polisi na kufikishwa katika viwanja vya Unga Ltd ndani ya saa moja.Polisi walitumia risasi kama "final resolution" baada ya kuona wanazidiwa nguvu na vijana wa Chadema waliokuwa na "munkari" wa hali ya juu wakitaka kuvamia kituo chenye silaha lukuki.Ni dhahiri hapa ndipo serikali inasema "bahati mbaya" wenzetu watatu waliuwawa.


Bungeni huu ni mtego tu ili haki ionekane kutendeka na Lema ameadhibiwa kwa kufungiwa kuhudhuria vikao visivyopungua vitano bungeni na kulazimika kufuta kauli yake.Na imani kwa bunge ninaloliona mchango wa kile atakacho kiwasilisha Lema uta kuwa ule wa Mudhihir na Zitto kabwe.Lema ata kama anadhani utetezi wake utakuwa "extraordinary" asitarajie maamuzi yatam-favour.

Hii kweli siasa!

Nionavyo mimi hatima ya suala hili ni pale tutakapo pata jibu la kuku na yai kipi kilitangulia?.
...Mbona mimi nilivyoelewa ni kwamba uongo wa Pinda ni jinsi alivyoelezea kiini cha matatizo ya arusha ambayo kimsingi ni upatikanaji wa meya wa Arusha..mauaji ni matokeo ya upatikanaji wa meya + kukamatwa kwa viongozi na kudhuiliwa licha ya wana sheria kutimiza hatua zote za kisheria juu ya kuwawekea mdhamana.
 
Alipohojiwa na waandishi,lema alisema asingependa kuongelea suala hilo ili asidhoofishe ushahidi wake.lazima ana kitu kipya.

Hana jipya.

Lema bado ni kinda kisiasa. Anadhani siasa zinaendeshwa kihuni.

Semina aliyohudhuria Ubungo ilikuwa bure, pesa za serikali zilipotea pale.

Bila shaka upeo wake ulivyo unatokana na elimu yake pamoja na malezi aliyopewa na chama chake.

Hatuna cha kufanya, machalii wa Arusha wamemchagua.

Hata hivyo bado kidogo tu watatambua kuwa imekula kwao - ni hasara ya miaka 5.
 
Hana jipya.

Lema bado ni kinda kisiasa. Anadhani siasa zinaendeshwa kihuni.

Semina aliyohudhuria Ubungo ilikuwa bure, pesa za serikali zilipotea pale.

Bila shaka upeo wake ulivyo unatokana na elimu yake pamoja na malezi aliyopewa na chama chake.

Hatuna cha kufanya, machalii wa Arusha wamemchagua.

Hata hivyo bado kidogo tu watatambua kuwa imekula kwao - ni hasara ya miaka 5.

acha dharau kwa umma wa arusha.ni lema huyuhuyu kupitia NCCR alimpeleka puta Felix mrema katika uchaguzi wa 2005.sasa uzoefu wa siasa si tatizo kwake.
He is aggressive because he experienced the problems of arusha residents.the issue is not uzoefu wa siasa but to represent and present matarajio ya waliokuchagua.
 
...Mbona mimi nilivyoelewa ni kwamba uongo wa Pinda ni jinsi alivyoelezea kiini cha matatizo ya arusha ambayo kimsingi ni upatikanaji wa meya wa Arusha..mauaji ni matokeo ya upatikanaji wa meya + kukamatwa kwa viongozi na kudhuiliwa licha ya wana sheria kutimiza hatua zote za kisheria juu ya kuwawekea mdhamana.
Crashwise hat mimi ndivyo nilivyoelewa lakini nashangaa watu wamejikita kwenye vurugu za 05.01.2011.
 
Hana jipya.

Lema bado ni kinda kisiasa. Anadhani siasa zinaendeshwa kihuni.

Semina aliyohudhuria Ubungo ilikuwa bure, pesa za serikali zilipotea pale.

Bila shaka upeo wake ulivyo unatokana na elimu yake pamoja na malezi aliyopewa na chama chake.

Hatuna cha kufanya, machalii wa Arusha wamemchagua.

Hata hivyo bado kidogo tu watatambua kuwa imekula kwao - ni hasara ya miaka 5.
uzoefu upi unauzungumzia, Nyerere wakati anachukua nchi alikuwa na uzoefu upi?
 
uzoefu upi unauzungumzia, Nyerere wakati anachukua nchi alikuwa na uzoefu upi?

Nyerere alikuwa amekwenda shule.
Ni mtu aliyekuwa anaona mbali na kupanga mikakati sawia - dunia ni mashahidi.
Kumlinganisha Nyerere na Lema ni tusi kubwa...kwa Mwalimu mwenyewe na kwa WaTz.

Ukweli ni kwamba Lema na majority ya viongozi wa cdm ni immature kisiasa. They are just political opportunists.
Bahati mbaya ni kwamba mashabiki wao watakuja kugundua hili wakati imeshakula kwao.
 
acha dharau kwa umma wa arusha.ni lema huyuhuyu kupitia NCCR alimpeleka puta Felix mrema katika uchaguzi wa 2005.sasa uzoefu wa siasa si tatizo kwake.
He is aggressive because he experienced the problems of arusha residents.the issue is not uzoefu wa siasa but to represent and present matarajio ya waliokuchagua.

Jipe moyo lakini mmechagua garasha safari hii.
Lema hajui siasa, mbaya zaidi hakwenda shule, pia ana historia ya kuwa na kesi kesi zilizomchafulia jina hapo Arusha.
 
Hii kweli siasa!Lema amekuwa mbumbu akidhani taarifa atakayowasilisha bungeni kulingana na maagizo ya Spika itamnusuru kwa Waziri Mkuu kuonekana kweli kadanganya Bunge na wananchi.Lema hatokuwa na cha ziada mbali na taarifa ileile iliyofahamika kama "Tamko la Chadema" juu ya Mauaji Arusha ambayo imekwisha tolewa na Viongozi wa Chadema na kutaka Nahodha na Mwema kujiuzuru.Mambo yatakuwa kama ifuatavyo:

1)Lema atawasilisha utetezi wake ambao nadhani hautakuwa na jipya mbali ya yale tuliyoyasikia katika media na wengine kujionea.Hapa msingi mkuu wa Lema itakuwa kusisitiza kuwa ilikuwa haki ya kikatiba chadema kuandama na kwa kuwa ilikuwa imekubalika na Kamanda wa Polisi Wilaya ya Arusha.Hapa kosa la Polisi ni kuuwa Raia japo mpaka sasa haijajibiwa kama wenzetu waliuwawa kabla ya kutolewa amri na Viongozi wa Chadema kwa wafuasi kwenda kuwakomboa Lema na wenzie ama baada ya kauli hiyo ya ukombozi.

2)Upande wa Serikali ni dhahiri sababu zao zimekwisha tolewa kuwa maandamano yalikuwa haramu isipokuwa mkutano ulikuwa halali kutokana na kauli ya IGP Mwema kabla ya kikao cha tarehe 5/1/2011.Polisi walilazimika kutumia nguvu pindi Chadema walipolazimisha maandamano na matukio ya vifo vya wenzetu yalitokana na uchochezi wa Viongozi wa Chadema hasa baada ya kuamuru Lema na wenzie wawe wamekombolewa kutoka katika kituo cha Polisi na kufikishwa katika viwanja vya Unga Ltd ndani ya saa moja.Polisi walitumia risasi kama "final resolution" baada ya kuona wanazidiwa nguvu na vijana wa Chadema waliokuwa na "munkari" wa hali ya juu wakitaka kuvamia kituo chenye silaha lukuki.Ni dhahiri hapa ndipo serikali inasema "bahati mbaya" wenzetu watatu waliuwawa.


Bungeni huu ni mtego tu ili haki ionekane kutendeka na Lema ameadhibiwa kwa kufungiwa kuhudhuria vikao visivyopungua vitano bungeni na kulazimika kufuta kauli yake.Na imani kwa bunge ninaloliona mchango wa kile atakacho kiwasilisha Lema uta kuwa ule wa Mudhihir na Zitto kabwe.Lema ata kama anadhani utetezi wake utakuwa "extraordinary" asitarajie maamuzi yatam-favour.

Hii kweli siasa!

Nionavyo mimi hatima ya suala hili ni pale tutakapo pata jibu la kuku na yai kipi kilitangulia?.

NO NEED OF FAVOUR!!! We need no fovour but let the truth be true no matter what pain comes your way. LEMA BIG UP:clap2:
 
Hana jipya.

Lema bado ni kinda kisiasa. Anadhani siasa zinaendeshwa kihuni.

Semina aliyohudhuria Ubungo ilikuwa bure, pesa za serikali zilipotea pale.

Bila shaka upeo wake ulivyo unatokana na elimu yake pamoja na malezi aliyopewa na chama chake.

Hatuna cha kufanya, machalii wa Arusha wamemchagua.

Hata hivyo bado kidogo tu watatambua kuwa imekula kwao - ni hasara ya miaka 5.

Ubongo wako umeathirika na maneno ya kiimla, "ukomavu ama ukinda" ni maneno ya kifisadi, yamechochea kutokuwaji
Ka, yamepalilia rushwa na kulindana kwenye lichama lao,ni miongoni mwa vimisemo vilibuniwa kwenye chuo cha propaganda kivukoni kwa lengo la kuwanyima nafasi watanzania kujihusisha na siasa, kwa taarifa yako nasisitiza pinda amelidanganya bunge na wenyenchi, kasema walikufa watanzania watatu,ukweli walikufa watanzania wawili, huo ni uongo wa kwanza, pm hajui thamani ya raia kwenye nchi yake, kwa vimaneno vya "ukomavu wa kisiasa" ameshindwa na hawezi kujua kukamata viongozi wa wananchi kwa staili ile ni kuwa-provoke wananchi usitegemee watu wasifanye jaribio au jitihada zozote, jeshi la polisi liliwaalika wananchi kwenda kituo cha polisi pale walipomshikilia kiongozi anayependwa na wananchi bila kuyasoma mazingira. Kwa taarifa yako hakuna atakayemng'oa GL kwa uchaguzi wowote pale A town.
 
kwa taarifa yako nasisitiza pinda amelidanganya bunge na wenyenchi, kasema walikufa watanzania watatu,ukweli walikufa watanzania wawili, huo ni uongo wa kwanza, .

Hakusema Watanzania watatu, alisema watu watatu. Hata kama alikosea na kusema Watanzania watatu, hiyo si hoja kubwa ya kumfanya Mbunge amuite PM muongo. Wabunge wote walifundishwa namna ya kuongea Bungeni kwenyue semina pale Ubungo. Hata hivyo kwa kuwa baadhi ya watu ni wazito wa kuelewa mambo ya kawaida, na kutokana na watu hao kujazwa itikadi za kipuuzi za kichama, maneno ya kashfa yameshuhudiwa bungeni.
 
Jipe moyo lakini mmechagua garasha safari hii.
Lema hajui siasa, mbaya zaidi hakwenda shule, pia ana historia ya kuwa na kesi kesi zilizomchafulia jina hapo Arusha.

Garasha ...?? Garasaha! Huh ? Garasha ! What ?

People decided to see beyond his cases and other inabilities, infact people and not just one or two..but multitude of people of Arusha..the wise included..chose him to represent them..

they looked beyond his human flaws ..who are you to judge them ? During campaign session..alirushiwa madongo mazito,mengine ya kweli mengine ya uongo..guess what ???

we voted FULLY AWARE of the person we are bringing foward to represent us....!! Oh yes ! Even me who is struggling with my PhD ! I knew for a fact his level of education, don't u doubt that for one second..

Pity are those who chose Rostam blindly!

Kishongo....u gat a long way to go !!

In the people's open court of opinions and options...Mr Lema is the best thing in Arusha since bread and butter...

Copy and paste that please.
 
Nyerere alikuwa amekwenda shule.
Ni mtu aliyekuwa anaona mbali na kupanga mikakati sawia - dunia ni mashahidi.
Kumlinganisha Nyerere na Lema ni tusi kubwa...kwa Mwalimu mwenyewe na kwa WaTz.

Ukweli ni kwamba Lema na majority ya viongozi wa cdm ni immature kisiasa. They are just political opportunists.
Bahati mbaya ni kwamba mashabiki wao watakuja kugundua hili wakati imeshakula kwao.

Sasa wewe kipi kinakuuma kama siyo Mshabiki wa CDM
 
Tumemchagua tukijua anajua kusoma na kuandika , uwezo wake kuchambua mambo magumu kama quadratic equation tutayapeleka kwa wataalam , jamaa yeye anajua msoto tunaokabiliana nao ndiyo tuliyomtuma akaseme , tunataka utawala wa sheria hilo ameamza kulitatua , barabara finyu , mji wa kimataifa mchafu na mengine mengi ambayo tunahakika msela anamudu
Batilda anamjua zaidi lema kama anapitaga humu aweke wasifu wake
 
Nyerere alikuwa amekwenda shule.
Ni mtu aliyekuwa anaona mbali na kupanga mikakati sawia - dunia ni mashahidi.
Kumlinganisha Nyerere na Lema ni tusi kubwa...kwa Mwalimu mwenyewe na kwa WaTz.

Ukweli ni kwamba Lema na majority ya viongozi wa cdm ni immature kisiasa. They are just political opportunists.
Bahati mbaya ni kwamba mashabiki wao watakuja kugundua hili wakati imeshakula kwao.
Jifariji tu. Chadema ndo sauti ya watanzania wazalendo wa sasa na baadae.
 
Garasha ...??

we voted FULLY AWARE of the person we are bringing foward to represent us....!! Oh yes ! Even me ...
.

I have no guts to vote for a character with such a terrible criminal record to represent me. It is hard to believe that some people can be so blind and do so!

Time will tell, soon you will realise where you went wrong.
 
I have no guts to vote for a character with such a terrible criminal record to represent me. It is hard to believe that some people can be so blind and do so!

Time will tell, soon you will realise where you went wrong.

Chenge ALIUA na sasa yuko Mjengoni na ana Ujiko Kwenye CCM yenu
 
Tumemchagua tukijua anajua kusoma na kuandika , uwezo wake kuchambua mambo magumu kama quadratic equation tutayapeleka kwa wataalam , jamaa yeye anajua msoto tunaokabiliana nao ndiyo tuliyomtuma akaseme , tunataka utawala wa sheria hilo ameamza kulitatua , barabara finyu , mji wa kimataifa mchafu na mengine mengi ambayo tunahakika msela anamudu
Batilda anamjua zaidi lema kama anapitaga humu aweke wasifu wake

Atasimamiaje utawala wa sheria wakati yeye ana rekodi mbaya ya kihalifu?
 
Back
Top Bottom