CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,255
- 12,872
Sio vizuri kuwangia ndoa ya wenzio, ungesubiri mambo yajioneshe menyewe!
hata me namshangaa huyo mwanga,et awanga mchana kweupee!
Sio vizuri kuwangia ndoa ya wenzio, ungesubiri mambo yajioneshe menyewe!
naona umetumwa na wakati ndio sasa, kwa taarifa yako hakuna kilichoharibika. my lawyer ruttashobolwa hebu njoo huku.
NB. WANAKAMATI ENDELEENI NA MAJUKUMU YENU. KELELE ZA CHURA HAZIMZUII NGOMBE KUNYWA MAJI. . . .
Mwenyekiti nimekuja.
Ndoa ipo jamani,
nilienda kulipia Fyatanga Bar,
ili siku ya tar 26 tusipate tabu.
Madabhali Jnr acha wenge wewe,
mbona waarabu wanaoana baba mkubwa na mdogo?
mama yako naona uzee unamuingia siku hizi...amekuwa msahaulifu mno...
halafu wewe kijana MtotoSix,inabidi tuongee vizuri ile mahari naona haitoshi nilisahau kumuhesabu babu wa babu yake bibi wa binti yangu charminglady
Acha nicheke ninenepe......michango ishaliwa tayari
:biggrin1: watu washachanga na mipango ishafanyika hapa lazima aolewe mtu lasivo hakitaeleweka
nani kakwambia mimi na charminglady ni ndugu? wachawi mmeanza kuharibu mipango ya harusi yetu. Jamani mipango inaendelea kama ilivyokuwa awali
khaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!yani umeruka ukuta badala ya kuusogelea!!Unataka useme inawezekana hana kinena au!!?
ingekuwa ufilipino kweli tungeamin lakin hapa bongoland weweeeee kajipangeee upya my shostito lazima aolewe na mtoto six wanga wako peleka mabweee bado hawajazoea wale watu ka wewe
Nafahamu ila nilikua nampa zake za utosiiiucjali mpenzi, huo ulikuwa ni upepo na sasa ushapita!!!!!
ingekuwa ufilipino kweli tungeamin lakin hapa bongoland weweeeee kajipangeee upya my shostito lazima aolewe na mtoto six wanga wako peleka mabweee bado hawajazoea wale watu ka wewe
Alafu az suni az posibo unidipu