Maskini Jeuri
Member
- May 9, 2011
- 80
- 10
Bahati nzuri nawafanyia kazi Wahindi, najua vile Mzee mwinyi anakula gawio kwa kushinikiza kutolewa kibali kwa properties kujengwa kwenye Mapito ya wanyama kinyumu cha sheria. He gets 20% since year 1992. Huyu mwajiri ameajiri Wa Tanzania Kama 700, kiburi alicho nacho Ni kutoa ajira tu and nothing more! Mtanzania analipwa 600000 thou maximum mkenya $2000 US minimu
! Mzungu $5000 minimum forget about all other benefit fringes wanapata!
Matumbo Yao Ni moto sana vile Ezekiel Maige ataondoshwa kwenye system, they are crossing their fingers ili Mtu atakaewekwa kwenye mfumo awe mdhalimu kwa kuwa favour wao!
Sitegemei chochote cha maana kutoka Ccm ya Leo! Nipo nimejichokea lakini Nina tumaini.
NB: kampuni inaitwa Sopa management Ltd!
Faida kwa siku Ni kati ya dollar 1000000 (lakimoja) Hadi 700000! What a shame! Wanatudharau na hakuna wakusimama kutetea Hilo!
Question to you!
! Mzungu $5000 minimum forget about all other benefit fringes wanapata!
Matumbo Yao Ni moto sana vile Ezekiel Maige ataondoshwa kwenye system, they are crossing their fingers ili Mtu atakaewekwa kwenye mfumo awe mdhalimu kwa kuwa favour wao!
Sitegemei chochote cha maana kutoka Ccm ya Leo! Nipo nimejichokea lakini Nina tumaini.
NB: kampuni inaitwa Sopa management Ltd!
Faida kwa siku Ni kati ya dollar 1000000 (lakimoja) Hadi 700000! What a shame! Wanatudharau na hakuna wakusimama kutetea Hilo!
Question to you!