Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,036
Tutawaletea taarifa ya habari ya Saa mbili toka TBC ifikapo saa saba kamili EST saa sita kamili CST (-5 GMT)
nope... nasikiliza hewani na miye narusha hivyo hivyo.. pesa yangu. Mali ya umma.
Itakuwa live tu au recorded pia kwa tutakaocheki baadae?
kamanda sikupati sauti haitoki player inacheza lakini sauti hakuna......